Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni kweli?
Does it matter?
Hivi ni kweli?
Does it matter?[/QUOTE]
Kufanyaje?
Kupiga A saba na mitihani yenyewe ya bongo ku leak nje nje na ma tution kibao,si kigezo cha kusema Mnyika ni kichwa.Na kidato cha 6 alipata division gani?Manake kila siku hadithi za As za form 4 tu,vipi form 6 nako?
Nauliza kwa sababu kuna washkaji zangu wengi tu walinyuka ma A A kibao form 4 lakini tulipokuja 6 walichemka vibaya sana.Na kuna wengine walipiga point 3/4 form six,lakini chuo ndiyo walikuwa wanaongoza kwa ku disco.
Wewe ulipata nini? Maana swali lako..speaks volume about you than the subject of the heading!
Kwa hiyo mkuu p53 na wewe matokeo yako yana utata kwa vile mitihani ina leak?
Hivi ni kweli?
Does it matter?
Lovely John... lovely!!! the answer is short and clear...Mstahiki,
Asante kwa swali lako, Jibu ni kwamba sio kweli. Turejee kwenye mijadala ya msingi kwa taifa letu.
JJ
Mkuu kwanza ungeniuliza nimesomea wapi halafu ndiyo ungenichapa hilo swali!
Kupiga A saba na mitihani yenyewe ya bongo ku leak nje nje na ma tution kibao,si kigezo cha kusema Mnyika ni kichwa.Na kidato cha 6 alipata division gani?Manake kila siku hadithi za As za form 4 tu,vipi form 6 nako?
Nauliza kwa sababu kuna washkaji zangu wengi tu walinyuka ma A A kibao form 4 lakini tulipokuja 6 walichemka vibaya sana.Na kuna wengine walipiga point 3/4 form six,lakini chuo ndiyo walikuwa wanaongoza kwa ku disco.
Kupiga A saba na mitihani yenyewe ya bongo ku leak nje nje na ma tution kibao,si kigezo cha kusema Mnyika ni kichwa.Na kidato cha 6 alipata division gani?Manake kila siku hadithi za As za form 4 tu,vipi form 6 nako?
Nauliza kwa sababu kuna washkaji zangu wengi tu walinyuka ma A A kibao form 4 lakini tulipokuja 6 walichemka vibaya sana.Na kuna wengine walipiga point 3/4 form six,lakini chuo ndiyo walikuwa wanaongoza kwa ku disco.
hilo swali nililokuuliza lina secondary objective hiyo ... umeeleza kinachotokea kwenye matokeo ya form four, six, hadi mlimani. Umejuaje hayo? na kama unayajua hivyo, unahusika vipi? hence -- na wewe matokeo yako ni feki?
Kupiga A saba na mitihani yenyewe ya bongo ku leak nje nje na ma tution kibao,si kigezo cha kusema Mnyika ni kichwa.Na kidato cha 6 alipata division gani?Manake kila siku hadithi za As za form 4 tu,vipi form 6 nako?
Nauliza kwa sababu kuna washkaji zangu wengi tu walinyuka ma A A kibao form 4 lakini tulipokuja 6 walichemka vibaya sana.Na kuna wengine walipiga point 3/4 form six,lakini chuo ndiyo walikuwa wanaongoza kwa ku disco.
Ushaanza ligi ya kombe la mbuzi kama kawaida yako!
Hivi kuna siri kuwa mitihani bongo ina leak?Ni lazima uwe umesoma bongo tu ndipo ujue kwamba mitihani bongo ina leak?Mara ngapi vyombo vya habari vimetangaza kuvuja mitihani ya taifa?Mara ngapi mitihani ya taifa imerudiwa au kubadilishwa kwa sababu iliyotangulia ilivuja?
Nauliza kwa sababu kuna washkaji zangu wengi tu walinyuka ma A A kibao form 4 lakini tulipokuja 6 walichemka vibaya sana.Na kuna wengine walipiga point 3/4 form six,lakini chuo ndiyo walikuwa wanaongoza kwa ku disco.
Kupiga A saba na mitihani yenyewe ya bongo ku leak nje nje na ma tution kibao,si kigezo cha kusema Mnyika ni kichwa.Na kidato cha 6 alipata division gani?Manake kila siku hadithi za As za form 4 tu,vipi form 6 nako?
Nauliza kwa sababu kuna washkaji zangu wengi tu walinyuka ma A A kibao form 4 lakini tulipokuja 6 walichemka vibaya sana.Na kuna wengine walipiga point 3/4 form six,lakini chuo ndiyo walikuwa wanaongoza kwa ku disco.