John Mnyika wakabidhi chama chao, si dhambi kurudi CCM. Ukishindwa kabisa nenda kaungane na Zitto Kabwe kuendeleza Siasa za Upinzani

Haina VICHWA, wangekuwepo JIWE asingehangaika akihaha kumnunua.

CCM Iko ktk hatua za mwisho wa uhai wake.

Mnyika hawezi pishana na GARI la mshahara!!!!!
Mzee utakuwa unaishi huko Marekani, ila huku Tanzania kila Mwananchi anaona CCM inavyoisimamia Serikali, nani atawaamini Watu waliopo huko nje wanapiga kelele kwenye mitandao tu? Wananch wanaona utekelezaji wa wa ahadi zilizotolewa na Chama wakati wakinadi Ilani yao.
 
Tumia muda pia kuwashauri Polepole, Kabudi, Lukuvi, Bashiru Musukuma nk wawaachie CCM wenyewe kwani sio ile wanayoijua
 
Mnyika ana akili timamu and he knows what he wants, unachokiona bora yeye anweza kukiona kibovu

Usimpangie
 
Kweli mnatekeleza Kwa Umakini mkubwa.

Vp, mlishampata anaeweka maji ya maiti kwenye samaki wa Kanda ya ziwa???

Ni halali mumtolee mate Mnyika Kwa ubovu wa viongozi mlonao.😃😃😃
 
Mnyika hajawahi kuwa mwanaCCM. Kitu cha pekee alicho nacho Mnyika ni umakini katika kufanya siasa zake.. ana timing kali sana. Huwezi kukuta anasumbuana na vyombo vya dola hovyo. Hata kabla hajakuwa mwanasiasa mkubwa alikuwa akishiriki matukio mengi ya kuharakati na kampeni mbalimbali za vijana. Nakumbuka Shigongo alikuwa na kampeni yake ya kuhamasisha watu kujiandikisha kupiga kura kwenye miaka ya karibia 2010 ambapo Mnyika alishiriki vizuri sana hadi Shigongo akamtabiria kuja kuwa kiongozi mkubwa. Nadhani CCM imsajili Mnyika na Sugu.
 
Propaganda UCHWARA za Shaka .... Lumumba!!
 
Mnyika sio mwehu kama wewe alishwindwa yule Kichaa wenu hakuna wa kumwamisha MNUIKA CHADEMA
 
Holy Crap
 
Mtu akiitaji ccm huwa nahisi kutapika.

Chama kilichojaa dhulma, ukatili, unyama, wizi, ujambazi nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…