John Mnyika wakabidhi chama chao, si dhambi kurudi CCM. Ukishindwa kabisa nenda kaungane na Zitto Kabwe kuendeleza Siasa za Upinzani

Yaani unasema ccm ni chama Bora!Cha kistaarabu!!?
Kafulila yupo wapi?Ali happy,Malinda!!
Ni kweli jombaa hujapigiwa na katibu!
Wako Tanazania hapa hapa wanaendelea na utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi.
 
JF imevamiwa na maadui wa demokrasia. Kile chama cha wauaji na watekaji. Wanajiita wastaarabu!!!
Kile chama kilichozamisha binadamu wenzao baharini ndani ya viroba eti wastaarabu. Mashetani wanataka kukaribisha malaika motoni. Kama wewe ni binadamu basi ni msukule
 
Mkuu nani ni adui wa Demokrasia? kungekuwa hakuna demokrasia unadhani ungepata muda wa kuita watu mashetani, wauaji na ukawa huru? Demokrasia iliyopo ndiyo inayofanya uwe huru hivi,
Mungu Ibariki Tanzania na Watu wake.
 
Mkuu nani ni adui wa Demokrasia? kungekuwa hakuna demokrasia unadhani ungepata muda wa kuita watu mashetani, wauaji na ukawa huru? Demokrasia iliyopo ndiyo inayofanya uwe huru hivi,
Mungu Ibariki Tanzania na Watu wake.
Kubali too hata Tulia juzi alizindua shughuli ya uuaji kwa kutumia UVCCM kwa wapinzani. Ustaarabu!!!!
 
Hayo maneno ya kila siku ambayo hayana hata ukweli, hakuna mwaka Wapinzani wamewahi kukubali kushindwa duniani kote
Wale walioenguliwa kwa visingizio walipigiwa kura???Sijawahi ona nchi yoyote yenye demokrasia mtu au mgombea anapita bila kupingwa hili halipo kabisa labda Rwanda,Burundi na DRC.
 
Mi napita tu lakini ilikuwa si rahisi kupita siku au hata saa bila kuona jitihada za mwenzetu erythrocyte katika kujaribu kuwaaminisha watu kuwa chadema ipo kwa nyuzi mbalimbali......lkn sasa nahisi ameshajichokea, si kwa kimya hiki. Wapo 'makamanda' wachache wanajaribu lakini mh!!
 
Hakuna kitu kigumu kama kutetea chama kilichopoteza mvuto kwa Wananchi NIMEONA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…