Uchaguzi 2020 John Mrema aanza kampeni jimbo la Segerea kwa kuomba michango

Uchaguzi 2020 John Mrema aanza kampeni jimbo la Segerea kwa kuomba michango

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Katika hali ya kushangaza kiongozi mwandamizi wa Chadema anayegombea ubunge Ndg. John Mrema anaanza kampeni zake kwa kuomba achangiwe.

Najiuliza iwapo kiongozi huyu ambaye amepata neema nyingi za kushirikishwa kwenye matukio ya Chama chao na kuwa mjumbe wa kamati kuu kwa muda wa zaidi ya miaka 7 sasa huku akiwa amemnyang'anya tonge mdomoni ndugu Tumaini Makene na Yericko Nyerere.

Inashangaza sana kwa mtu huyu kukosa fedha ya kampeni.

Hii inaashiria kama John Mrema hana fedha za kampeni vipi hali ya wagombea wao huko mikoani?

TAFAKARI
 
Kuna spana imepigwa kistadi hivyo pesa ya waliowanunua imekwama kuiva.

Waendeshe kampeni kwa ustaarabu
 
Kama baba anatembeza bakuri mtoto atafanyaje?
IMG-20200901-WA0002.jpg
 
Siyo John Mrema tu bali hawa ombaomba Chadema wanatusumbua kwelikweli kuomba michango, yaani sisi tuwachangie kushinda uchaguzi wakishaingia Bungeni wanakwenda kususia vikao vya Bunge tunakosa uwakilishi lakini wao mishahara yao iko palepale na kiinua mgongo cha nguvu, nyambafu zao si Wabunge wao walikatwa pesa nyingi kwa miaka mitano kwa ajili ya uchaguzi 2020, hiyo pesa imeenda wapi? Wanataka kutufanya sisi mazuzu.
 
Kwanini CCM huwa mnaumia sana wenzenu wanapokuwa wanachangiwa? Mbona hamkupiga kelele pale magufuli alipochangia ujemzi wa msikiti wakati waislam wanao uwezo wa kujenga wenyewe?
 
Kwanini ccm huwa mnaumia sana wenzenu wanapokuwa wanachangiwa? Mbona hamkupiga kelele pale magufuli alipochangia ujemzi wa msikiti wakati waislam wanao uwezo wa kujenga wenyewe?
CCM inawauma sababu wachangiaji haohao kutwa nzima wanalia vyuma vimekaza
 
Back
Top Bottom