Aibu aibu Mrema.Napinga john mrema kuchangiwa michango.
Hii tabia ni lazima ikomeshwe, HAKUNA KUMCHANGIA MREMA PESA YOYOTE
Watakaomchangia asilimia tisini na tisa hawapo hapa JamiiForumsNapinga john mrema kuchangiwa michango.
Hii tabia ni lazima ikomeshwe, HAKUNA KUMCHANGIA MREMA PESA YOYOTE
Halafu mke wake Ni mbunge mafao wamepeleka wapi?Hivi wanapopata yale mafao yao huwa wanakumbuka waliowachangia
Katherine mwanamke aweza samehewa lakini dume zima Mrema kuomba mmmmmmKatherine ruge anaomba mchango sembuse mrema?
[emoji23][emoji23]huyo Catherine amepata kiinua mgongo more than 200mKatherine mwanamke aweza samehewa lakini dume zima Mrema kuomba mmmmmm
Ni mwanamke asiyeridhika[emoji23][emoji23]huyo Catherine amepata kiinua mgongo more than 200m
CCM inawauma sababu wachangiaji haohao kutwa nzima wanalia vyuma vimekazaKwanini ccm huwa mnaumia sana wenzenu wanapokuwa wanachangiwa? Mbona hamkupiga kelele pale magufuli alipochangia ujemzi wa msikiti wakati waislam wanao uwezo wa kujenga wenyewe?
Siku zote walikuwa wapi kujenga?Kwanini ccm huwa mnaumia sana wenzenu wanapokuwa wanachangiwa? Mbona hamkupiga kelele pale magufuli alipochangia ujemzi wa msikiti wakati waislam wanao uwezo wa kujenga wenyewe?