johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na mambo ya nje CHADEMA John Mrema amesema Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu hajasema anahama CHADEMA bali alitumia kauli ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kusisitiza siku CHADEMA ikiondoka kwenye misingi yake na Yeye ataondoka
Mrema amesema hata yeye hatakuwa na sababu ya kubakia Chadema siku ikiondoka kwenye misingi yake.
Soma Pia: Lissu: CHADEMA ikiondoka kwenye misingi iliyonifanya nijiunge nacho, nitaondoka. CHADEMA siyo mama yangu wala dini yangu
Source: Crownfm
Nawatakia Sabato Njema 😄
Mrema amesema hata yeye hatakuwa na sababu ya kubakia Chadema siku ikiondoka kwenye misingi yake.
Soma Pia: Lissu: CHADEMA ikiondoka kwenye misingi iliyonifanya nijiunge nacho, nitaondoka. CHADEMA siyo mama yangu wala dini yangu
Source: Crownfm
Nawatakia Sabato Njema 😄