Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tangu june hadi leoDuhhhh all eyes on CDM
Kama Demokrasia ni vichekesho basi hayaHiki chama kina vichekesho
Mangi anayejitambua🤣Chini ya uongozi wa lissu watatuongoza vyema, tofauti na hapo nipo zangu chauma wala sitaki stress na mtu.
Hujui Kitu, Shut Up!Hivi vituko mnavipatagaje?
Sijawahi kuwa ccm meku , labda kama unanaanisha vingine bwashee 🤔Mangi anayejitambua🤣
Nilijua unatetea taasisi ya uchagani..Mbowe saco...🤣Sijawahi kuwa ccm meku , labda kama unanaanisha vingine bwashee 🤔
Wachaga wajinga tu ndio wataufanya huo ulimbukeni mkuu😁Nilijua unatetea taasisi ya uchagani..Mbowe saco...🤣
Mdude hajazeekaHiyo nafasi apewe mdude
BAZECHA!Mwanasiasa Mkongwe Mkoani Mbeya, Ambaye amechangia Kustaafisha siasa Wanaccm wengi Mkoani humo, Mzee John Mwambigija, leo amejitokeza kuchukua fomu ya kugombea uongozi wa Juu wa Baraza la Wazee la Chama chake
View attachment 3180951
Hivi sasa Mwambigija ni Mwenyekiti wa Bazecha Mkoani Mbeya.
Kiukweli sasa inaelekea Baraza la Wazee linataka kupata viongozi hasa na ambao wametafutwa kwa miaka mingi mno.
Mungu Ibariki Chadema
Uzee utakuja tu mbona mwenyekiti aliingia kijana sasa hivi kazeekaMdude hajazeeka
Huyu ndo mzee wa upako?Mwanasiasa Mkongwe Mkoani Mbeya, Ambaye amechangia Kustaafisha siasa Wanaccm wengi Mkoani humo, Mzee John Mwambigija, leo amejitokeza kuchukua fomu ya kugombea uongozi wa Juu wa Baraza la Wazee la Chama chake
View attachment 3180951
Hivi sasa Mwambigija ni Mwenyekiti wa Bazecha Mkoani Mbeya.
Kiukweli sasa inaelekea Baraza la Wazee linataka kupata viongozi hasa na ambao wametafutwa kwa miaka mingi mno.
Mungu Ibariki Chadema
Naam, ukimpa MicHuyu ndo mzee wa upako?
Ndiye mwenyewe, ukimpa Mic lazima atekweKama ndie mzee wa upako ,ilo balaa lingine, wasiomjua uyu pole yao , anafaa sana ,na ukizingatia kivumbi cha 2025 moto utawaka , uyu mzee kwenye majukwaa ya kisiasa ni balaa sio la nchi hii