Pre GE2025 John Mwambigija achukua fomu ya Kugombea Uenyekiti wa BAZECHA Taifa

Pre GE2025 John Mwambigija achukua fomu ya Kugombea Uenyekiti wa BAZECHA Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwanasiasa Mkongwe Mkoani Mbeya, Ambaye amechangia Kustaafisha siasa Wanaccm wengi Mkoani humo, Mzee John Mwambigija, leo amejitokeza kuchukua fomu ya kugombea uongozi wa Juu wa Baraza la Wazee la Chama chake

View attachment 3180951

Hivi sasa Mwambigija ni Mwenyekiti wa Bazecha Mkoani Mbeya.

Kiukweli sasa inaelekea Baraza la Wazee linataka kupata viongozi hasa na ambao wametafutwa kwa miaka mingi mno.

Mungu Ibariki Chadema
Mzee wa upako, safi sana.
 
Mwanasiasa Mkongwe Mkoani Mbeya, Ambaye amechangia Kustaafisha siasa Wanaccm wengi Mkoani humo, Mzee John Mwambigija, leo amejitokeza kuchukua fomu ya kugombea uongozi wa Juu wa Baraza la Wazee la Chama chake

View attachment 3180951

Hivi sasa Mwambigija ni Mwenyekiti wa Bazecha Mkoani Mbeya.

Kiukweli sasa inaelekea Baraza la Wazee linataka kupata viongozi hasa na ambao wametafutwa kwa miaka mingi mno.

Mungu Ibariki Chadema
Bila Lisu kuwa Mwenyekiti hapo CHADEMA haya yote yanayofanyika ni kazi bure, ni kupoteza muda tu
 
Na wewe ulikula za nani hadi unajichekesha chekesha humu?
Hilo lilevi la komoni linataka kuongoza Baraza la Wazee, takataka kabisa,. Labda kachanganya Baraza la Wazee na Baraza la Walevi
 
Huyo mchekeshaji wa Nyanda za Juu Kusini kaamua achekeshe taifa sasa, alikula hela za sauli miaka ile kwenye uchaguzi
Sauli angwkuwa ana hela angedhulumu nyumba Kariakoo hadi kuja kuumbuliwa na Jerry Silaa?
 
Screenshot_2025-01-05-19-19-26-1.png
 
Back
Top Bottom