zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Mzee wa upako, safi sana.Mwanasiasa Mkongwe Mkoani Mbeya, Ambaye amechangia Kustaafisha siasa Wanaccm wengi Mkoani humo, Mzee John Mwambigija, leo amejitokeza kuchukua fomu ya kugombea uongozi wa Juu wa Baraza la Wazee la Chama chake
View attachment 3180951
Hivi sasa Mwambigija ni Mwenyekiti wa Bazecha Mkoani Mbeya.
Kiukweli sasa inaelekea Baraza la Wazee linataka kupata viongozi hasa na ambao wametafutwa kwa miaka mingi mno.
Mungu Ibariki Chadema
Haya cheka hadi kinyeo chako nacho kichekeHiki chama kina vichekesho
Bila Lisu kuwa Mwenyekiti hapo CHADEMA haya yote yanayofanyika ni kazi bure, ni kupoteza muda tuMwanasiasa Mkongwe Mkoani Mbeya, Ambaye amechangia Kustaafisha siasa Wanaccm wengi Mkoani humo, Mzee John Mwambigija, leo amejitokeza kuchukua fomu ya kugombea uongozi wa Juu wa Baraza la Wazee la Chama chake
View attachment 3180951
Hivi sasa Mwambigija ni Mwenyekiti wa Bazecha Mkoani Mbeya.
Kiukweli sasa inaelekea Baraza la Wazee linataka kupata viongozi hasa na ambao wametafutwa kwa miaka mingi mno.
Mungu Ibariki Chadema
Huyo mchekeshaji wa Nyanda za Juu Kusini kaamua achekeshe taifa sasa, alikula hela za sauli miaka ile kwenye uchaguziHaya cheka hadi kinyeo chako nacho kicheke
Na wewe ulikula za nani hadi unajichekesha chekesha humu?Huyo mchekeshaji wa Nyanda za Juu Kusini kaamua achekeshe taifa sasa, alikula hela za sauli miaka ile kwenye uchaguzi
Hilo lilevi la komoni linataka kuongoza Baraza la Wazee, takataka kabisa,. Labda kachanganya Baraza la Wazee na Baraza la WaleviNa wewe ulikula za nani hadi unajichekesha chekesha humu?
๐๐๐๐Mzee wa upako, safi sana.
Sauli angwkuwa ana hela angedhulumu nyumba Kariakoo hadi kuja kuumbuliwa na Jerry Silaa?Huyo mchekeshaji wa Nyanda za Juu Kusini kaamua achekeshe taifa sasa, alikula hela za sauli miaka ile kwenye uchaguzi
Mkuu karibu sana ChademaHilo lilevi la komoni linataka kuongoza Baraza la Wazee, takataka kabisa,. Labda kachanganya Baraza la Wazee na Baraza la Walevi