Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,362
- 1,133
Inawezeka kunauhusiano wowote na maswala ya siasa? Kwann hawakuchukua chochote?
Kunataarifa zisizokuwa Rasimi Naibu Waziri Ujenzi Harrison Mwakyembe Amepigwa risasi yeye pamoja na Mwenyekiti wa CCM Mbeya!Kadri habari zitakavyokuja tutawajulisha.
mama yangu
Tanzania nini tena hiki?
mwenyezi mungu ametowa na pia ametwaa jina lake liabudiwe,kama ni mambo ya kiasa basi sasa bongo tumefika mbali,kwa kuwa hatujui nini chanzo ngoja tusubiri
Ila wasije husisha na CDM Maana kila jambo baya litokealo kwa upande wa CCM huusishwa na CDM,HEHEHEHEHEHEHE