TANZIA John Mwankenja auawa kwa risasi

poor analysis, poor thinking. Like ur name, realy u need to think twice before u comment.
 

very bad, kama ni siasa basi tunaelekea kubaya tena kubaya. Watafutwe kwa udi na uvumba, lakini kwa makini tusisingiziane kama Masha alivyosema kwa chama fulani
 

mngu ailaze loho ya malehemu mahali pema peponi
 
Nimepata nafasi ya kuajiriwa na kaka yake
Kwa kifupi nilikua ndani ya familia yao

Kuna Visa vingi Sana vilivyosababisha kifo chake
Za chini kbs kwa watu wakaribu Sana ni kwamba alifanya dili na watu akawadhurum
 
Pumzika kwa amani kiongozi. Mwendo umeumaliza. Mungu atawahukumu waliokatisha maisha yako
 


Raisi kashasema hivi ni vifo vya kawaida sasa inabidi tuzoee haya mambo 🤕. Hayo ni maneno ya Raisi kwamba ni mambo ya kawaidia kutekwa, kuuwawa na kupigwa risasi. Tukiongee nyie hapa ni wakati mnaleta uchawa sasa msishangae majangili watakuwa wanachukuwa tender za mauaji kila siku
 
Kifo ni kifo kwa sauti ya prezdar a.k.a mfariji mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…