john na mubah wa kwenye mkasi SHOW EATV

Justin Dimee

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2012
Posts
1,146
Reaction score
248
Hawaa vijana mi huwa nikiwaangaliaga namaswali swali yao yale ambayo hayana mantik yeyote huwa nachoka kweli ndipo naona usijione ufahari kujichoresha kwenye matv wakati, kichwani hakuna kitu mnafuatiliaga tinga number moja kwa vijana eatv mkasi show nazani hawa majama mna waonaga.
Ushauri waende course kidogo ama wa mwachie salama afanye yake maana wanauliza maswali kama watoto walasaba?
 
John walau anauliza maswali ya maana ila Mubah ni garasa kabisa
 
mi nadhani mubah ndo hana maswali ya maana kabisa!
John walau anauliza maswali ya maana ila Mubah ni garasa kabisa

  • Ni kweli hili mimi pia nimelibaini, ila la msingi ni kwa waandaji wa kipindi kuwaandaa kwanza hawa mubah na John kabla ya kipindi ili kuboresha kipindi chao, na kuepusha maswali yasio na mashiko.
 
Ni washamba kiukweli mi nawachukia. Sijui kwanini wasiwe wanakaa tu kimya
 
wivu utawaueni nyie fanyeni yenu.
mbona wanauliza maswali vizuri kumbukeni kile kipindi siyo kama interview za CNN,ITV au BBC.

kipindi cha mikasi lazima kiwe na maswali ya kizushi mengi.
mkitaka maswali ya muhimu muangalie This week in perspective TBC ijumaa au dakika 45 itv.

mjue namna ya kutofautisha aina ya vipind, waangaliaje wake ni vijana au wazee, lengo la kipindi.

nyie ndio mrudi shule amjue mlisemalo. polen sana
 
N
Nadhani Salama kawakuta wale Muba na Awilo pale salon wakiwa wanafanya kazi zao za kunyoa na kutengeneza nywele. Na kile kipindi kinatakiwa uwe unaweza kufanya hizo kazi kasoro host mwenyewe,kwasababu kinafanyika salon.
 
Nyie watu kwa majungu, uliona wapi saluni kuna maswali ya maana? Wale wamewekwa maksudi kukamilisha dhana kwamba zile ni story za saluni, udaku, umbea, tetesi , pumba na maswali ya msingi. Acheni kuleta ujuaji na usomi katika sehemu zisizohusika utaonekana limbukeni wa elimu
 
hiyo chemistry wanayotengeneza wale maboya na salama ni bab kubwa kuliko angekuwa salama na watu ambao wewe unadhani wana maswali ya maana au wajanja!....kwanza inabidi uelewe wale jamaa wako pale si kama wagtangazaji bali vinyozi kwahiyo wanachokifanya nin kitu halisia!...
 
N
Nadhani Salama kawakuta wale Muba na Awilo pale salon wakiwa wanafanya kazi zao za kunyoa na kutengeneza nywele. Na kile kipindi kinatakiwa uwe unaweza kufanya hizo kazi kasoro host mwenyewe,kwasababu kinafanyika salon.

bora na wewe umewambia wakitaka interview za maana waangalie this week in perspective cha tbc, je tutafika cha channel 10 na dakika 45 cha itv au waangalie interview za bbc na cnn.

kipind cha mikasi habari zaidi ni za udaku na tetesi sasa sijui walitaka maswali gani yaulizwe
 
Sina tatizo kabisa na John ila Mubah niña tatizo nae the way anavyouliza hayuko straight hivyo, ni mafundi wazuri wa nywele rumors has that ndio maana wako pale.
 
Ukweli hua una lenga pahala pake sawa atuja kata but kuna mdaa flani ivi ana muuliza swali star mpaka ana chananwa apo apo kama at alimwambia maswali gani unauliza kama mtoto mdogo daah waulize basii atakama ni kimasihara masihara yawe yakijinga basi ata tu cheke tuongeze siku. Kuliko unauliza empty
 
wanaboa ila hawapo apo kwa bahati mbaya
wamechaguliwa kwa makusudi ili the real host a shine.
 
Ni washamba kiukweli mi nawachukia. Sijui kwanini wasiwe wanakaa tu kimya

Kweli MUBA duu anatia aibu maswali anayouliza hayana mashiko kabisa mpaka sometimes Salama anaona aibu anamkatishaga!
 
N
Nadhani Salama kawakuta wale Muba na Awilo pale salon wakiwa wanafanya kazi zao za kunyoa na kutengeneza nywele. Na kile kipindi kinatakiwa uwe unaweza kufanya hizo kazi kasoro host mwenyewe,kwasababu kinafanyika salon.

ha ha h a eti awilo..anapiga gambe kama hana akili timamu..Mubah ni boya..mropokaji..pumba nyingiiii..ukitaka kumuona nenda Didi's pale masaki kisha kaa nae dakika 5 tu utajua ni mtu wa aina gani!
 

WAANGALIE HII MOVIE
 
Nadhani sometimes akija msanii fulani au mtu yeyote maarufu ambaye may be hawamfuatiliagi au hawajui scandal zake au kitu chochote kuhusu mtu uyo zaidi ya kujua tu huyu fulani ni msanii wa bongo movie basi,inaweza pia sababisha kutokuwa makini au kuuliza maswali yasiyokuwa na mshiko au ambayo hayahusiani na uyo mtu kabisa wala kazi yake,so wanajikuta wakiuliza maswali ambayo hayana msingi ili tu waonekane na wao wameongea..
 
Salama haogopagi ata kama alisikiaga kuwa una scandal fulani,anayabwaga yote,hafichi kitu kabisaa,anajiamin sana...
 

tunakubali lakini mubah doesn't fit at all. japo haihitaji elimu lakini kuna uelewa flani na upana wa mawazo unaohitajika na all the time mubah is found short. u can always feel like he should have done better! I think its an exposure 'thing'.
 
wale watu muhimu sana ujue ,fikiria abaki salama itakuaje kile kipindi au
Joshu producer na A Y waendeshe kipindi na Salama vp kitakua poa?

Ndio maana ukiwaweka mastaa tupu kwenye jambo lolote lile kwa pamoja haliwez kufanikiwa.

Upuuzi wa dula ndo huo unaofanya hadi tunawajadili hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…