Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Rest in Peace John.
Your service to this great country will forever be remembered and honored.
Kweli kabisa mkuu ...huyu anakumbukwa kwa Kupigana Bega kwa Bega na fighter pilots wenzake kina General mboma ..Darling ..Mdogo wake Andrew na wenzake kupiga bombs Uganda na kwingine wakati wa ukombozi ...
Naamini Jeshi la wananchi pia lina stahiki kupewa pole kwa kuondoka Mstaafu wake .
