TANZIA John Nyerere afariki dunia

Rest in Peace John.

Your service to this great country will forever be remembered and honored.

Kweli kabisa mkuu ...huyu anakumbukwa kwa Kupigana Bega kwa Bega na fighter pilots wenzake kina General mboma ..Darling ..Mdogo wake Andrew na wenzake kupiga bombs Uganda na kwingine wakati wa ukombozi ...
Naamini Jeshi la wananchi pia lina stahiki kupewa pole kwa kuondoka Mstaafu wake .
 


Poleni sana wanafamilia .Ila mnatuchanganya .John Magige Nyerere ni nani tena.

Au Julius K. Nyerere = Magige K.Nyerere

R.I.P John.
 
Mwenyezi Mungu awape moyo wasubira wanafamilia wote ktk kipindi hiki kigumu cha kuondokewa Na mwenzao Na awajaze Na farajayake
 
Kuna mtu kampa yenricko pole mbavu sina dah watu ni hatari sana
 
Serikali imchunguze kwa lipi? Hebu funguka kidogo!

Konekti dots, jamaa aliota wako watu watatu mmojawao akawa raisi, huyo John hakumtaja kabisa kama mmoja wa wanafamilia aliowaota. Halafu soma kitabu cha THREE LIVES then uje na hitimisho.
 
Mwana jf mwenzetu Andrew, poleni sana kwa msiba huu mkubwa na nadhani ndio wa kwanza kwa mtoto wa Mwalimu!.

RIP Capt. John Magige Nyerere.

Pasco

Pasco umenisaidia kuunganisha majina. Kabla nilidhani John na Magige ni watu wawili tofauti.

Poleni kwa msiba familia ya Mwalimu
 
Last edited by a moderator:
R.I.P John Nyerere na poleni sana wanafamilia wa Mwalimu Nyerere katika nyakati hizi ngumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…