Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
He is an enforcer.. hao huwa hawasifiki lakini ni backbone ya timu. Umewahi kumsikia Sergio Busquets?Aisee kiukweli jamaa ana "zari" na nyota ya "kama sikutaki kumbe nakutaka"
Ni mchezaji potential pia pale darajani
kwenye tunguli?inawezekana unayo yasema ni kweli au jamaa anajituma sana.
View attachment 394456
Kaanza Mourinho hakumtema
Kaja Scolari hajamtema
Kaja Avram Grant hajamtema
Kaja Hiddink hajamtema
Kaja Villas Boas hajamtema
Akaja Di Mateo hajamtema
Akaja Benitez hajamtema
Karudi tena Mourinho hajamtema
Karudi Hidink hajamtema
Na sasa kaja Conte hajamtema
Na hajawahi kuwa na uhakika wa first eleven
Na kila ligi ikiwa inaendelea utasikia dirisha lijalo anatemwa..likifika kimyaaaa..
.
Na hajawahi kutangazwa kwenye vyombo vya habari kuwa anaongezewa mkataba...yeye anaongezewaga kimya kimya tuu....
Namzungumzia JOHN OBI MIKEL
WEWE BADO UNAAMINI UCHAWI HAUPO???
yerewiiiiiiiiiiii!
!
Huyu ni mtoto wa mjomba wake TB Joshua. Ni dada wa bini yao mkubwa ambaye wwlalishea kaka na huyu jirani yao ambao walisaidiana kutoa mbuzi kisimani.
Anajituma Wapi sasa? Mbona hapangwi ktk mechi?inawezekana unayo yasema ni kweli au jamaa anajituma sana.
He is an enforcer.. hao huwa hawasifiki lakini ni backbone ya timu. Umewahi kumsikia Sergio Busquets?
Luis Enrique Martinez kabla hajapanga timu huanza na jina lake wengine wanafuata including Messi.
Na Ancelot pia hajamtemaView attachment 394456
Kaanza Mourinho hakumtema
Kaja Scolari hajamtema
Kaja Avram Grant hajamtema
Kaja Hiddink hajamtema
Kaja Villas Boas hajamtema
Akaja Di Mateo hajamtema
Akaja Benitez hajamtema
Karudi tena Mourinho hajamtema
Karudi Hidink hajamtema
Na sasa kaja Conte hajamtema
Na hajawahi kuwa na uhakika wa first eleven
Na kila ligi ikiwa inaendelea utasikia dirisha lijalo anatemwa..likifika kimyaaaa..
.
Na hajawahi kutangazwa kwenye vyombo vya habari kuwa anaongezewa mkataba...yeye anaongezewaga kimya kimya tuu....
Namzungumzia JOHN OBI MIKEL
WEWE BADO UNAAMINI UCHAWI HAUPO???