John Pambalu alipataje uongozi BAVICHA?

John Pambalu alipataje uongozi BAVICHA?

Ikifanyoka sensa ya makabila nyamagana unafikir kabila lipi litaongoza nyamagana au unafikir nyamagana ni hapo mjini kati pekeyake.
Basi sawa, ni sahihi huyo mwamba kukubalika
 
...mtu wa mh.Mbowe huyo....

Mh.Mbowe hataki na hawezi kuwa na watu HURU....

Si unamjua lakini ?!! [emoji1787]
 
Dogo pambalu ni mcha MUNGU ni kijana mzalendo wa dhati kwa kifupi namfahamu personally amesoma BUTIMBA DAY SEC akaenda IHUNGO BOYS HIGH SCHOOL chuo kikuu kasoma EDUCATION hapo SAUT UNIVERSITY MWANZA MAIN CAMPUS

Kuna watanzania wengi Sana Tena brainy kabisa Ila wapo nje ya siasa kwa sababu zao binafsi

NB.
Huyu dogo ni promising Sanaa aliwai kuwa diwani wa BUTIMBA na aka tuniana misuli na JPM

Wengine wataongezea ongezea NYAMA NYAMA
 
Back
Top Bottom