TUPACified
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 1,367
- 604
Mshkaji ndio alikuwa pacha wa Tupac kwenye muziki, they were a match made in the thug-ven. Kuna story mchizi haku-commit suicide kama ilivyoripotiwa, ila 'walimzimisha' tu coz alikuwa na kazi nyingi sana za Pac ambazo hazijawahi kusikika na angeziachia.
Sasa kuna story tena Jigga-man kalipa zaidi ya dola milioni 350 ili kumiliki catalog na haki zote za muziki wa Pac. Inaweza kuwa a genuine business move, ama he's just another Puppet katumwa kuchafua legacy ya Pac. Either way, Pac's work is not in good hands.
Nilikuwa na matumaini someday ningeskia combination ingine ya Pac na Johnny, ila kwa sasa ni mpaka next life. Najua pia wana kazi kibao huko walipo. Hiyo move ya Jay imenikata maini sana
Sasa kuna story tena Jigga-man kalipa zaidi ya dola milioni 350 ili kumiliki catalog na haki zote za muziki wa Pac. Inaweza kuwa a genuine business move, ama he's just another Puppet katumwa kuchafua legacy ya Pac. Either way, Pac's work is not in good hands.
Nilikuwa na matumaini someday ningeskia combination ingine ya Pac na Johnny, ila kwa sasa ni mpaka next life. Najua pia wana kazi kibao huko walipo. Hiyo move ya Jay imenikata maini sana