Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Kampuni hiyo ya Afrika Kusini imetangaza kuacha kuuza poda yake ya watoto yenye kemikali ya #talc duniani kote ifikapo Mwaka 2023, kutokana na hofu ya usalama wa watumiaji
Mnamo 2020, J&J ilitangaza kuwa itaacha kuuza talc Baby Poda katika nchi za Marekani na Canada kutokana na kile ilichokiita "Habari potofu" kuhusu usalama wa bidhaa hiyo huku kukiwa na changamoto nyingi za kisheria
Kampuni hiyo inakabiliwa na maelfu ya kesi zinazodai kuwa “Poda” hizo zinakemikali zinazodaiwa kusababisha saratani ya ngozi
...........................................
Johnson & Johnson (J&J) says it will stop selling its talc-based baby powder globally in 2023, more than two years after it ended sales in the United States and Canada of a product that drew thousands of consumer safety lawsuits.
“As part of a worldwide portfolio assessment, we have made the commercial decision to transition to an all cornstarch-based baby powder portfolio,” the company said in a statement on Thursday.
It added that cornstarch-based baby powder was already sold in countries worldwide.
In 2020, J&J announced it would stop selling its talc Baby Powder in the two North American countries because demand had fallen in the wake of what it called “misinformation” about the product’s safety amid a barrage of legal challenges.
The company faces thousands of lawsuits claiming its talc products caused cancer due to contamination with asbestos, a known carcinogen.
J&J denies the allegations, saying decades of scientific testing and regulatory approvals have shown its talc to be safe and asbestos-free. On Thursday, it reiterated the statement as it announced the discontinuation of the product.
Source: Al jazeera