muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
😀Ana kibendi?Ajashusha kitu tu bado?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀Ana kibendi?Ajashusha kitu tu bado?
si alikuwa na kidude cha Vunjabei😀Ana kibendi?
Akhaa, We mzee mbona kitambo tu ameshazaa, katoto kakubwa tu, mimi nilijua ana mimba nyinginesi alikuwa na kidude cha Vunjabei
Jojo ni msuluhishi mkuu wa mgogoro unaoendelea wa KATAA NDOA.JoJo ni nani?au labda nimemjua kipindi msichana bado?
Wengine mmetuacha ufafanuzi kidogo!
Aah basi uzazi umemtunishaAkhaa, We mzee mbona kitambo tu ameshazaa, katoto kakubwa tu, mimi nilijua ana mimba nyingine
Dah! Umenikumbusha mbali sana. Kipindi Sinta Yuko juu sana,ndo wameachana na Nature. Nilikuwa na mshkaji wangu,Sinta tumekutana naye akiwa njiani katokea kwao Kimara Kilungule. Yeye na sisi tu hakuna mwingine njiani. Nikapanga na jamaa namtokea,Bado Yuko mbali kidogo kutukaribia . Alivyofika karibu kujua ni yeye tulitawanyika ile njia akapita katikati . Jamaa alinicheka sana.Kipindi tunasoma kuna jamaa yangu hakujua kama ni Jokate akaanza kumpigia misele, siku anajua alijiona fala [emoji3]
MshangaziMh. Jojo akihutubia kikaoni leo katika mkutano wa UWT. Ni kama ameanza kula chumvi sasa! Ujana kweli haudumuView attachment 2927383
Ila na haya ma-cream makali yanatepetesha ngozi.. ss mheshimiwa DC hata 40 sidhani kama kafikisha...Kwani yeye ni Nani asizeeke mkuu? JF siku hizi imekuwa Jukwaa na udaku badala ya Hoja
Mkeka wa ukili 😅😅😅Amekorogeka haswaa. Lawama ziende China wametuharibia Mpango wetu wa Kando wa Taifa. Yaani amekuwa kama mkeka wa ukili wenye patched colors
Ebana mie simooo 😂Mkeka wa ukili 😅😅😅
Huwezi kuongoza chama cha wasimbe sugu uache kuzeekaMh. Jojo akihutubia kikaoni leo katika mkutano wa UWT. Ni kama ameanza kula chumvi sasa! Ujana kweli haudumuView attachment 2927383
Kachoka mbaya.Mh. Jojo akihutubia kikaoni leo katika mkutano wa UWT. Ni kama ameanza kula chumvi sasa! Ujana kweli haudumuView attachment 2927383
Mfano Samia anakiwa kijana sabb hahaingaiki na mambo ya nchiViongoziu wanauchukulia majukumu yao serious na hutumia akili sana wanapokuwa kazini huwa wanachoka haraka sana wakati wale wasiokuwa serious huponda raha sana. Waangalie akina Obama na Clinton alivyo leo uwalinganishe na George Bush. Kiumri Obama ni mdogo kjwa Bush wakati Clinton na Cliunton wana umri unaolingana.
Umri wa mwanamke ku shine ni miaka 18 mpaka 25 kama hajazaa. Hapo ndio mwanamke anakua kwenye peak kwa maana ya sura, umbo nk. Baada ya hapo ndio wanawake huanza kunenepa, sura kushuka, macho kutumbukia, makunyanzi nk.Ujana ni mfupi sana, 18-35 ni kama 17yrs tu, utoto, utu uzima na uzee ndio vina range kubwa.
Kuna wanawake wapo 30-50 ni watam sana machoni mkuu, inategemea wewe unaangalia nini kwao.Umri wa mwanamke ku shine ni miaka 18 mpaka 25 kama hajazaa. Hapo ndio mwanamke anakua kwenye peak kwa maana ya sura, umbo nk. Baada ya hapo ndio wanawake huanza kunenepa, sura kushuka, macho kutumbukia, makunyanzi nk.
Kwa upande wa mwanaume, umri wa ku shine ni miaka 20 -60+ kama akijiweka vizuri kwa milo na mazoezi.
Will Smith, 55
Fresh wapi wakati hiyo ni sura ya kibibi kwa 100%.Sure ,Jokate ana sura ya kitoto ,hata akifikisha 50 bado ataonekana yupo fresh.
Of coz kuna wachache wenye "udongo mzuri" ila majority wakishagonga 30 unaona kabisa wanakua wazee.Kuna wanawake wapo 30-50 ni watam sana machoni mkuu, inategemea wewe unaangalia nini kwao.