Jojo anazeeka sasa, kweli ujana haudumu

Samiah atazeesha wengi sana!!

Ili uwe chawa wake lazima zikutoke akili kwanza maana!!

Hivi unamwambiaje Mzee was kisukuma achague nkiima Tena was visiwani akakuelewa!!?

Labda urukwe akili kwanza!!

Nakutana na kina Mzee mihambo,mwanakini,malekela ,malaba hawelewi somo kwakweli

Lazima azeeke TU hamna namna!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…