kutafuna unatumia nguvuu....ko ukitafuna muda mrefuu lazima upate njaa...Habari za mihangaiko ndugu zangu wa humu ndani...
Naomba kujua kama hili jambo kama huwa linatokea kwa kila mtu, huwa nikitafuna JoJo kwa mda mrefu huwa nahisi njaa hata kama nimekula mda mfupi uliopita, je? Jojo husababisha njaa kweli au nina allergy?
NawasilishaView attachment 835561
Pole sana mkuu, wapi huko skul labda tulisoma woteNi kweli kabisa mkuu, kuna siku nikiwa form two kengere ya msosi jion imelia nikala frsh tu kwenda prepo nikakuta jamaa ana big g nikaomba nikaitafuna weee hadi muda wa kulala, siku hiyo nilikesha nahesabu kench hadi nikamiss home!
Unapotafuna unatumia nguvu fulani ivyo kuhitaji chakula, pia ukitafuna tumbo linajiandaa kupokea kitu hiyo ni coordination topic ya biology form one!Pole sana mkuu, wapi huko skul labda tulisoma wote
Kwahiyo hujanielewa mkuu