Joka mwenye vichwa saba

Joka mwenye vichwa saba

nimewahi sikiasikia but...hekaya! eti wakati inaponyesha mvua kubwa uck kama ile 1999 dec huwa "anahama" from place to ocean or viseversa/
 
Aaaaaaaah mimi bora nilitege visu gamba la ccm,najua nitapata meno ya tembo,begi la madawa,madini..... ntakuwa tajili tu.
 
Nimekuwa nikisikia kuwa kuna joka lenye vichwa saba linapatikana duniani.Kuna bwana mmoja aliniambia joka hili huuwa linapita chini ya miamba ya milima kwa mwaka mara moja hata hapa Tanzania chini ya milima mikubwa.Wanasema watu wanaohitaji utajiri huwa wanatega visu kwenye njia linayopita ili kupata kipande cha gamba lake ambacho kinahusishwa na kupata utajiri. Naomba mwenye utaalamu au uelewa kuhusu hili joka atujuze tuweze kujua kuhusu hili joka

Lipo hata Tanzania kondoa lipo,
 
Nimekuwa nikisikia kuwa kuna joka lenye vichwa saba linapatikana duniani.Kuna bwana mmoja aliniambia joka hili huuwa linapita chini ya miamba ya milima kwa mwaka mara moja hata hapa Tanzania chini ya milima mikubwa.Wanasema watu wanaohitaji utajiri huwa wanatega visu kwenye njia linayopita ili kupata kipande cha gamba lake ambacho kinahusishwa na kupata utajiri. Naomba mwenye utaalamu au uelewa kuhusu hili joka atujuze tuweze kujua kuhusu hili joka

kweli,hata me nilisikia kwa kuhadithiwa...na anaitwa Nondo...na kwa mujibu nilivyoambiwa ye huwa anaishi chini yaani ndani ya milima/vichuguu na akimove ndo hisababisha earthquake ktk maeneo hayo!..ila hili la utajiri nalickia kwako!!
 
Hizo ni hadithi hazina ukweli wowote, ila inasemekana ndani ya ziwa tanganyika amewahi kuvuliwa joka kubwa sana lenye urefu wa zaidi ya km 2. Source masimulizi ya bibi yangu
Hahaaa...mkuu nimegundua ulikuwa mbishi kula bibi akagundua story ya kukutishia!! Mkuu kilometa mbili unazijua lakini!!!??mie hapa najaribu kupima hili la kwangu kwenye suruali hata nusu rula halifiki!!!!
 
Lipo hata Tanzania kondoa lipo,

Watoto mmechanganyikiwa.Ukisikia muujiza wa namna hiyo usiende kukata mkono wa Albino, utauwa. Joka lenye vichwa saba wewe huliwezi, ni watu wa Mkubwa Mwenyezi Mungu. Yohani Mbatizaji walimkata kichwa lakini akarudi kama MNYAMA mwneye vichwa saba akiwa na mamlaka ya kuwaongoza Waislamu. Soma Ufununuo wa Yohana aya ya 12. Mwezi na Nyota ya Waislamu utavikuta. Ukienda Mwanza kutafuta wa kutumbukiza katika mashimo ili upate ng'ana utaua, tena hata ndugu zako.
 
Lipo gamboshi, lenyewe lina vichwa vitatu linatoa ndimi za moto mdomoni. Kuchwa cha katikati ni kikubwa kuliko viwilivya pembeni ambavyo ni vidogo
 
Back
Top Bottom