Jokate: Ali Kiba ndiyo nani???

Pesa muhimu aisee,

Kuna mtu aliwahi nambia bila pesa wadada wazuri nitaendelea kuwaita shemeji.

Eti na yeye nimuite shemeji[emoji23] pesa bhana
[emoji16][emoji16][emoji16]wadada wabaya jamani!kaaj
 
Nacheka na wazo lake kuwa "Noooo sitaki utaje jina la Ali Kiba, ukitaka tuzungumze uliza kitu bila kuweka hilo jina. " Si jokate alisema ataolewa mwaka huu mchumba wake ni Nani hasa diamond ? wacha amuoe Kama alikiba agemuoa wabongo wangesema ni alioa ex wa diamond . Mpira uko kiwanja chake wacha acheze jokate miezi tano imepaki tuangoja
 
Kibongo bongo angesema kitu wangedai anampenda anatamani angeolewa yeye..

Nimependa lolote hilo amejibu
 
Mbona sijaona alipo sema "Ali Kiba ndiyo nani?". Vi habari vingine ni vya hovyo hovyo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…