Mimi eeehWewe
Sio anajikuta hamjui hasira 😂😂😂😂😂Dadekiii..anajikuta hamtambui sasa hivi!!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anakaa posta siku hizi mkuu ndo maana nimesema anakaa pazuri. Si unajua Posta hamna makelele kama huku uswahilini kwetu eeh
Niliunganisha dots kama alivyosema "DADA WA TAIFA".[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....kwani we ulielewa nini?
Mamdogo anatunzwa jamani
Mamdogo kalala maskini kaamka tajiri sio kwa bingo yake.Acha kabisa,mamdogo saizi kazi yake kubwa ni kusema leta hiki,hiko sitaki.
Shida ni kwamba atabaki kuwa mchepuko tu maana posta pale pana mwenyewe.Mamdogo kalala maskini kaamka tajiri sio kwa bingo yake.
Kwani unadhani anampenda mpaka awaze kuwa mama mwenye nyumba? Yuko kuchukua chake tu hapo babq hata aoe 100 hawezi kujali.Shida ni kwamba atabaki kuwa mchepuko tu maana posta pale pana mwenyewe.
Atleast angepata mtu kama bwana machache na yeye angekuwa kama mama wawili
Masikini kodi yangu ile inaliwa na mamdogoKwani unadhani anampenda mpaka awaze kuwa mama mwenye nyumba? Yuko kuchukua chake tu hapo babq hata aoe 100 hawezi kujali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Masikini kodi yangu ile inaliwa na mamdogo
Posta kubwa Mkuu, ni mtaa gani? Ni karibu na wapi? huko anakokaa kwa nyuma magari yanaruhusiwa kupita ikifika jioni?Anakaa posta siku hizi mkuu ndo maana nimesema anakaa pazuri. Si unajua Posta hamna makelele kama huku uswahilini kwetu eeh
HuuhuuuuNiliunganisha dots kama alivyosema "DADA WA TAIFA".
kuna kuwa mchepuko na kuna anayekufanya mchepuko!Shida ni kwamba atabaki kuwa mchepuko tu maana posta pale pana mwenyewe.
Atleast angepata mtu kama bwana machache na yeye angekuwa kama mama wawili
Kama hajajenga huu ndio muda sasa maana mzeebaba ni muhongaji mzuri tu, nakumbuka kuna mchepuko aliwahi kuuhonga ghorofa linalotumika kama hotel kipindi kile hajakaa kwenye kiti cha enzi, sema nini huu ubuyu mtamu tumstue Soudy Brown aunyapie basi[emoji3]Kwani unadhani anampenda mpaka awaze kuwa mama mwenye nyumba? Yuko kuchukua chake tu hapo babq hata aoe 100 hawezi kujali.
Weeeee. Soudy ana familia ujueKama hajajenga huu ndio muda sasa maana mzeebaba ni muhongaji mzuri tu, nakumbuka kuna mchepuko aliwahi kuuhonga ghorofa linalotumika kama hotel kipindi kile hajakaa kwenye kiti cha enzi, sema nini huu ubuyu mtamu tumstue Soudy Brown aunyapie basi[emoji3]