Jokate: Ali Kiba ndiyo nani???

Nimekuelewa sana rafiki ila siyo kwa chura hilo hapo kwenye avatar yako!!....Hivi mimi kisa cha kuishia kula tu kwa macho deile ni nini?...Au rafiki nibadilishe avatar nami nile vitamu kama wanavyokula akina fulani kisa avatar za uhendsome?
Rafiki sio chura wangu huyo. [emoji23][emoji23][emoji23]. Sema avatar za mahandsome wenyrwe wanakuaga wala sio handsomes wanabebwa na avatar tu
 
Wolper Mzuri?????? Khaaaaa macho yako yakapimwe mkuuu, yule???
Kila mtu kuna vitu anavipenda kwa mwanamke.hiyo JoJo naona kama mdomo mpana mno,haujabalance.
Afu ukimtizama kiupande ,havutii kama ukimcheki face to face.
Wakati wolper,vile umweke,kiupande,kichwa chini miguu kuu,whatever,anavutia tu.
Figure pia anayo kwa maana ya stake za medium.
Jojo hana sex figure,ninachompendea yeye yuko cool and natural,
 
Kwani mvuma wa radi hajausikia[emoji53][emoji53][emoji16][emoji16][emoji174]
 
Yule mtu wake anapenda wanawake wasomi. Uzuri ni bonus tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…