Rafiki sio chura wangu huyo. [emoji23][emoji23][emoji23]. Sema avatar za mahandsome wenyrwe wanakuaga wala sio handsomes wanabebwa na avatar tuNimekuelewa sana rafiki ila siyo kwa chura hilo hapo kwenye avatar yako!!....Hivi mimi kisa cha kuishia kula tu kwa macho deile ni nini?...Au rafiki nibadilishe avatar nami nile vitamu kama wanavyokula akina fulani kisa avatar za uhendsome?
ila rafiki wanatumia avatar hizohizo kula vitamu![emoji53]Rafiki sio chura wangu huyo. [emoji23][emoji23][emoji23]. Sema avatar za mahandsome wenyrwe wanakuaga wala sio handsomes wanabebwa na avatar tu
Mmg sidhani. Tukishaona avatar na uhalisia havinani tunakimbiaila rafiki wanatumia avatar hizohizo kula vitamu![emoji53]
We kweli hujamboMbona hujaandika alivyoshangiliwa mama wa taifa video iko kwenye insta ya Mange
Kila mtu kuna vitu anavipenda kwa mwanamke.hiyo JoJo naona kama mdomo mpana mno,haujabalance.Wolper Mzuri?????? Khaaaaa macho yako yakapimwe mkuuu, yule???
Kwani mvuma wa radi hajausikia[emoji53][emoji53][emoji16][emoji16][emoji174]Dar es Salaam: Mwanamitindo Jokate Mwegelo amegeuka ‘Mbogo’ baada ya kuulizwa habari inayohusiana mwanamuziki Ali Kiba.
View attachment 819677
Jokate Julai 26.2018 alitia timu katika arobaini ya mtoto wa mtangazaji Zamaradi Mketema ilipofanyika nyumbani kwake Bunju, jijini Dar es Salaam.
Alipoingia tu, watu waliohudhuria katika arobaini hiyo waligeuka kumuangalia kama wamepatwa na mshangao huenda kwa kitendo chake cha kupotea kwa kipindi kirefu machoni mwa watu.
MCL Digital ilimtafa alipokaa na kuzungumza naye mambo machache juu ya ukimya wake, ilianza na swali la kutoonekana mitandaoni tu baada ya Mwanamuziki Ali Kiba kufunga ndoa.
"Noooo sitaki utaje jina la Ali Kiba, ukitaka tuzungumze uliza kitu bila kuweka hilo jina na nikwambie tu mimi sijakimbia mitandaoni nipo sana, sema watu wanashindwa kuniona sababu mara nyingi nakuwa nacomment kwenye kurusa za watu haswaa nikiona kitu kimenivutia
"Kitu kingine ni ubize na majukumu yangu, ndio yanayoniweka kimya kwenye masuala mengine," alisema Jokate
Jokate ambaye kimuonekano ukimuangalia amenenepa na kuzidi kunawili, ila ule ujauzito aliokuwa anadaiwa anao, hakuna hata dalili ya kuonekana.
MCL Digital iliendelea kumuuliza habari za madai ya kuwa na ujauzito, Jokate mitandaoni kuna mambo mengi acha na hilo swali.
"Hayo mambo ya mitandaoni ungeyaacha tu, hilo swali hapana kwangu"
Aidha Jokate amesena kila kinachoongelewa mitandaoni anavisoma na kuvipotezea kwani amegundua wapo watu hawajui matumuzi ya mitandao wanatakiwa wapate elimu.
Kakaa wapi tena ?Ila huyo mwandishi nae mmbea. Kuuliza swali la mtego ili iweje wakati mwenzie kakaa pazuri sasa hivi. Jokate kazuri sana nako
PostaaKakaa wapi tena ?
[emoji23][emoji23][emoji23]Waaandishi uchwara wa bongo... Wengi ni form four failure fighting for food for four years
Yule mtu wake anapenda wanawake wasomi. Uzuri ni bonus tu.Kila mtu kuna vitu anavipenda kwa mwanamke.hiyo JoJo naona kama mdomo mpana mno,haujabalance.
Afu ukimtizama kiupande ,havutii kama ukimcheki face to face.
Wakati wolper,vile umweke,kiupande,kichwa chini miguu kuu,whatever,anavutia tu.
Figure pia anayo kwa maana ya stake za medium.
Jojo hana sex figure,ninachompendea yeye yuko cool and natural,
Mzigua Niko uziguani huku kutafuta fursa za kuku, hv huna mdogo wako huku [emoji3] [emoji3] [emoji3]Weeeee. Soudy ana familia ujue
Hahahahaa. Fursa ni mimi tu yaniMzigua Niko uziguani huku kutafuta fursa za kuku, hv huna mdogo wako huku [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Basi ukuje aiseee maana siwez vumilia na hyo AvatarHahahahaa. Fursa ni mimi tu yani
NakujamoooBasi ukuje aiseee maana siwez vumilia na hyo Avatar
Ila mzigua kweli wewe[emoji3] [emoji3]Nakujamooo
Mwacheni mzee apunguze furastiuesheni jamaniBaba ni mbovu kwa vizuri
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hana uzuri huo..nimepigà sana miaka ya 2008,2011 akahudhuria ndoa yangu diamond jubilee bila kinyongo