Jokate asema Bikira wa Kisukuma ni snitch

Umekwenda vzr ila hapo ulipowataja hao umewaonea sema team au washabik wao ndo walikua wanasapoti wasanii wa nje. Usiwaonee hao hawajawah kuhamasisha wampigie davido kura.
Naamin hao wasanii wangestand na kutoa tamko la kuhamasisha upigaji kura kwa mondi hata team zao zingebadili direction na kumsapot Mondi
 
Reactions: me1
Muacheni Mondi ajifariji kwa hilo he was so unhappy kipind chote tangu kawa mominated mi kiukweli nimependa sana yaani mefurahi beside hamna kibaya alichomdhalilisha Jokate zaidi ya kumrecognize kwa kurusha clip yake NDIMU NA ZIENDELEEE NASEMA TENA WATANYOOOOOOOKA TU tujifunze kupenda vya kwetu
 
Mtoto wa Tandale ni watandale tu..very low!!! shame!!
 
Diamond kama ni ww uliepost hio video umefanya ujingaaa aiseee

Yaaani bado umeweka mabifu moyoni.!!!!!!????
Ungetulia uache mafanikio yako yajionyeshe yenyewe.
 
Kwa kweli hongera sana mfalme wa bongo flavour Tanzania!

Hiyo tuzo mpelekee Jakaya! Mzee wetu anapenda sana mafanikio..

Hawa kina nanii waache wabebwe kindani ndani, hawajui mwanaume ukishafikisha 30+ y.o na bado uko kwa mama na baba ni aibu......
 
Naamin hao wasanii wangestand na kutoa tamko la kuhamasisha upigaji kura kwa mondi hata team zao zingebadili direction na kumsapot Mondi

We jamaa acha kujisemesha, yan mtu frm no where upost tu et tumsuport flan wakat hakuna ambae hajui kuwa wasanii wanaombana suport we kama hauombi suport kwa msanii mwenzako akupost kwe a/c yake, hawez akapost tu manake akipost ataonekana anajipendkeza mfano mzur umeona bibie kacheza wimbo wa chibu tayar kashaambiwa mtanyooka tu, watu wanaogopa kujipendekeza kupost mfano ve money aliwaomba hawa na wakafanya hvo walimsuport japo ndo ivo hakuwin. Alafu tujiulize kwanini hao ali kiba, joket na wema kutokumpost chibu wanaonekana wanamsuport best male, wakat kuna wasanii kibao tu hawajampost chibu na hawalalamikiwi? Mfano komando jide. watz tusikuze mambo lazima tufike mahali tukubaliane kila kitu na protocal hujiendei tu ili mradi lazima ufuate utaratibu, lakin bado ali kiba alizungumza redion alisema kabisa ni vema kusuport vya nyumbani alipoulizwa kuhusu team kupiga kampen za kuvote wasanii wa nje. Mnataka wafanyeje zaidi ya hapo. Haya wema kwenye tv show yake kuwa na yeye hakuombwa kumpa suport mwenzie aliomba so usiwalaumu mkuu
 
Nimemshangaa kweli jokate anaonekana ni mdada anayejiheshimu ila hayo magroup anayojiunga nayo mmh
 
Mnyepe???
Duh... jina tata sana hili....
Lina uhusiano na nyapu???

mnyepe yy huwa ananyepa!!! Fungua kamusi ya kiswahili toleo la 1954 utakuta hilo neno...
 
Malipo huwa ni duniani.Mstari mmoja tu umemfanya aandike gazeti.Haka kabint kama hujakafatilia kiundan unaeza jua kako-honest,innocent,loyal kumbe amejaa unafki.Yan yey huangalia palipo na fursa bas anajiweka.Time hii nadhan timing ilikua mbovu ndo mana kaumbuka.

"For every action,there is an equal and opposite reaction"
 
Wataka kusaema kipindi mondi anapost dili la Jojo na wachina Jokate alimuomba mondi afanye ivo. Support ni muhimu haijalishi umeombwa au hujaombwa na ndo maana Kiba alilalamika alipoona hapat sapot alipopata dili la ubaloz wa tembo
 
Wataka kusaema kipindi mondi anapost dili la Jojo na wachina Jokate alimuomba mondi afanye ivo. Support ni muhimu haijalishi umeombwa au hujaombwa na ndo maana Kiba alilalamika alipoona hapat sapot alipopata dili la ubaloz wa tembo

Ndo utaratibu uliopo mkuu, alafu nikwambie sasa kiba alilalamika hawamsuport kwasababu aliwaomba wafanye hvo na akawatumia pic za ubaloz lakn hawakufanya hvo ndio maana mwisho wa siku akasema wasanii wa bongo hawana tabia ya kusupport wasanii wengine. We kachek millardayo.com utaukuta mzigo kwa alichozungumza.
 
Hivi nyie mnawachagulia watu jinsi ya kuishi,da kweli sio mchezo..
 
jamaa umejibu poa sana,unajua watu wamekua kama majuha eti sababu ya timu zao hata mtu wao akikosea wanasema yupo sahihi wakati huohuo wanataka uzalendo,kwan ilikuwa lazima mtoto jojo amsupport jamaa kwa kumpost,au nn yeye pekee ndio alilazimika kumpost chibu, Kikweli mm sijawahi kuona hao jamaa alioowataja wakiaambia watu wampigie kula davido..yaani watu wanahulka kama bado tupo utumwani..
 
hizi ligi ni kama na angalia EPL kwani mwisho wa siku mshindi atajulikana tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…