LGE2024 Jokate: CCM ndio chama kinachoheshimu Demokrasia

LGE2024 Jokate: CCM ndio chama kinachoheshimu Demokrasia

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Ya kweli hayo?

Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

=====


Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo, amezindua rasmi kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mkoa wa Pwani leo November 20,2024 ambapo pamoja na mambo mengine amesema CCM haijauchukulia poa uchaguzi huo wala kuuona ni mdogo na wa kawaida bali imeuchukulia kwa uzito ndio maana imeshambulia Mikoa yote 26 kwa kuweka Wagombea na kupeleka vikosi vizito vya Viongozi kuomba kura.

Akiongea na Wananchi, KM Jokate amesema “CCM tumezindua rasmi kampeni kwa kupeleka vikosi vizito ili kuwaonesha Wananchi kwamba CCM ndio Chama kinachoheshimu demokrasia, hatujauchukulia huu uchaguzi kama mdogo au wa kawaida, tumeuchukulia kwa uzito wake ndio maana tumeshambulia Mikoa yote”

“Mpaka sasa ili kuonesha jinsi CCM ilivyodhamiria kwamba huu uchaguzi unatuhusu, tumeonesha tupo serious na uchaguzi kuliko Vyama vingine sisi tumeweka Wawaklishi Vijiji vyote na Vitongoji kwa 100%, wenzetu wa upinzani wameshindwa kujaza Vijiji vyote, mpaka sasa kwa jinsi tulivyojitokeza kushiriki uchaguzi huu tumeshashinda uchaguzi huu kwa 64% , leo tunaanza safari ya kutafuta asilimia zilizobaki, niwaombe Wananchi CCM dhamira yake imekuwa sio tu kushika Dola bali kuwahudumia Wananchi, hivyo tunaomba Wananchi mtupe kura CCM”

Soma: Pwani: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
 
Wafuasi wa chadema wanamuogopa mwenyekiti wao kuliko Mungu
 
Wakuu,

Ya kweli hayo?

=====

View attachment 3157515

Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo, amezindua rasmi kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mkoa wa Pwani leo November 20,2024 ambapo pamoja na mambo mengine amesema CCM haijauchukulia poa uchaguzi huo wala kuuona ni mdogo na wa kawaida bali imeuchukulia kwa uzito ndio maana imeshambulia Mikoa yote 26 kwa kuweka Wagombea na kupeleka vikosi vizito vya Viongozi kuomba kura.

Akiongea na Wananchi, KM Jokate amesema “CCM tumezindua rasmi kampeni kwa kupeleka vikosi vizito ili kuwaonesha Wananchi kwamba CCM ndio Chama kinachoheshimu demokrasia, hatujauchukulia huu uchaguzi kama mdogo au wa kawaida, tumeuchukulia kwa uzito wake ndio maana tumeshambulia Mikoa yote”

“Mpaka sasa ili kuonesha jinsi CCM ilivyodhamiria kwamba huu uchaguzi unatuhusu, tumeonesha tupo serious na uchaguzi kuliko Vyama vingine sisi tumeweka Wawaklishi Vijiji vyote na Vitongoji kwa 100%, wenzetu wa upinzani wameshindwa kujaza Vijiji vyote, mpaka sasa kwa jinsi tulivyojitokeza kushiriki uchaguzi huu tumeshashinda uchaguzi huu kwa 64% , leo tunaanza safari ya kutafuta asilimia zilizobaki, niwaombe Wananchi CCM dhamira yake imekuwa sio tu kushika Dola bali kuwahudumia Wananchi, hivyo tunaomba Wananchi mtupe kura CCM”

Soma: Pwani: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
Hivi kuchapisha form moja na kuwazuia watu wengine wasichukue form ya Urais ni kuheshimu demokrasi? au kumpa mwanamke madaraka baada ya kutembea na mkubwa wake katika chama nayo ni demokrasi, maana tunazijua siri zenu zote mmefikaje hapo mlipo.
 
Wakuu,

Ya kweli hayo?

=====


Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo, amezindua rasmi kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mkoa wa Pwani leo November 20,2024 ambapo pamoja na mambo mengine amesema CCM haijauchukulia poa uchaguzi huo wala kuuona ni mdogo na wa kawaida bali imeuchukulia kwa uzito ndio maana imeshambulia Mikoa yote 26 kwa kuweka Wagombea na kupeleka vikosi vizito vya Viongozi kuomba kura.

Akiongea na Wananchi, KM Jokate amesema “CCM tumezindua rasmi kampeni kwa kupeleka vikosi vizito ili kuwaonesha Wananchi kwamba CCM ndio Chama kinachoheshimu demokrasia, hatujauchukulia huu uchaguzi kama mdogo au wa kawaida, tumeuchukulia kwa uzito wake ndio maana tumeshambulia Mikoa yote”

“Mpaka sasa ili kuonesha jinsi CCM ilivyodhamiria kwamba huu uchaguzi unatuhusu, tumeonesha tupo serious na uchaguzi kuliko Vyama vingine sisi tumeweka Wawaklishi Vijiji vyote na Vitongoji kwa 100%, wenzetu wa upinzani wameshindwa kujaza Vijiji vyote, mpaka sasa kwa jinsi tulivyojitokeza kushiriki uchaguzi huu tumeshashinda uchaguzi huu kwa 64% , leo tunaanza safari ya kutafuta asilimia zilizobaki, niwaombe Wananchi CCM dhamira yake imekuwa sio tu kushika Dola bali kuwahudumia Wananchi, hivyo tunaomba Wananchi mtupe kura CCM”

Soma: Pwani: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    420.8 KB · Views: 2
  • 20240907_095744 (1).jpg
    20240907_095744 (1).jpg
    116.1 KB · Views: 3
  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
  • 5811523-6041f5af6e2b5c7600d07027005d6658.mp4
    3.7 MB
  • 5808629-57f86e47f2e7305376bcccf74fb56df4.mp4
    2.1 MB
  • 5808626-bde51487c15170759ed7838e0c83538c.mp4
    339 KB
Ila aliyemuingiza Jokate kwenye siasa? Nikikumbuka uno alilokuwa anapiga kwenye Miranda sasa hatutaliona, nalia sana mpaka nagalagala
 
Wakuu,

Ya kweli hayo?

=====


Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo, amezindua rasmi kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mkoa wa Pwani leo November 20,2024 ambapo pamoja na mambo mengine amesema CCM haijauchukulia poa uchaguzi huo wala kuuona ni mdogo na wa kawaida bali imeuchukulia kwa uzito ndio maana imeshambulia Mikoa yote 26 kwa kuweka Wagombea na kupeleka vikosi vizito vya Viongozi kuomba kura.

Akiongea na Wananchi, KM Jokate amesema “CCM tumezindua rasmi kampeni kwa kupeleka vikosi vizito ili kuwaonesha Wananchi kwamba CCM ndio Chama kinachoheshimu demokrasia, hatujauchukulia huu uchaguzi kama mdogo au wa kawaida, tumeuchukulia kwa uzito wake ndio maana tumeshambulia Mikoa yote”

“Mpaka sasa ili kuonesha jinsi CCM ilivyodhamiria kwamba huu uchaguzi unatuhusu, tumeonesha tupo serious na uchaguzi kuliko Vyama vingine sisi tumeweka Wawaklishi Vijiji vyote na Vitongoji kwa 100%, wenzetu wa upinzani wameshindwa kujaza Vijiji vyote, mpaka sasa kwa jinsi tulivyojitokeza kushiriki uchaguzi huu tumeshashinda uchaguzi huu kwa 64% , leo tunaanza safari ya kutafuta asilimia zilizobaki, niwaombe Wananchi CCM dhamira yake imekuwa sio tu kushika Dola bali kuwahudumia Wananchi, hivyo tunaomba Wananchi mtupe kura CCM”

Soma: Pwani: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
Kama CCM inaheshimu demokrasia, itaruhusu wagombea urais ndani ya chama kum challenge Samia 2025 au itasema tu "utamaduni wetu ni kumruhusu rais aliye madarakani aendelee muhula wa pili bila kupingwa ndani ya chama"?
 
Wakuu,

Ya kweli hayo?

=====


Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo, amezindua rasmi kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mkoa wa Pwani leo November 20,2024 ambapo pamoja na mambo mengine amesema CCM haijauchukulia poa uchaguzi huo wala kuuona ni mdogo na wa kawaida bali imeuchukulia kwa uzito ndio maana imeshambulia Mikoa yote 26 kwa kuweka Wagombea na kupeleka vikosi vizito vya Viongozi kuomba kura.

Akiongea na Wananchi, KM Jokate amesema “CCM tumezindua rasmi kampeni kwa kupeleka vikosi vizito ili kuwaonesha Wananchi kwamba CCM ndio Chama kinachoheshimu demokrasia, hatujauchukulia huu uchaguzi kama mdogo au wa kawaida, tumeuchukulia kwa uzito wake ndio maana tumeshambulia Mikoa yote”

“Mpaka sasa ili kuonesha jinsi CCM ilivyodhamiria kwamba huu uchaguzi unatuhusu, tumeonesha tupo serious na uchaguzi kuliko Vyama vingine sisi tumeweka Wawaklishi Vijiji vyote na Vitongoji kwa 100%, wenzetu wa upinzani wameshindwa kujaza Vijiji vyote, mpaka sasa kwa jinsi tulivyojitokeza kushiriki uchaguzi huu tumeshashinda uchaguzi huu kwa 64% , leo tunaanza safari ya kutafuta asilimia zilizobaki, niwaombe Wananchi CCM dhamira yake imekuwa sio tu kushika Dola bali kuwahudumia Wananchi, hivyo tunaomba Wananchi mtupe kura CCM”

Soma: Pwani: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
Chama kinachoogopa kushindana kwa hoja na sera na wapinzani wake hicho ni chama mfu, kitendo cha CCM kumtumia Mchengerwa na wahuni wake kuengua wagombea wa upinzani kinadhihirisha hoja hii.
 
Back
Top Bottom