Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hayaoni hata aibu aseeIla ccm wao kwao demokrasia ni kuengua wagombea washindani na wapinzani ili kupata ushindi wa bila kupingwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayaoni hata aibu aseeIla ccm wao kwao demokrasia ni kuengua wagombea washindani na wapinzani ili kupata ushindi wa bila kupingwa.
Waambie ukweli Hawa machawa hawaelewi kitu chochote kabisa!Hivi kuchapisha form moja na kuwazuia watu wengine wasichukue form ya Urais ni kuheshimu demokrasi? au kumpa mwanamke madaraka baada ya kutembea na mkubwa wake katika chama nayo ni demokrasi, maana tunazijua siri zenu zote mmefikaje hapo mlipo.
Ashukuru mbereko Ila hiyo kazi ya Udc ingekua na interview 🏃🏃🏃🏃 bagoshaaa.Wakuu,
Ya kweli hayo?
=====
Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo, amezindua rasmi kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mkoa wa Pwani leo November 20,2024 ambapo pamoja na mambo mengine amesema CCM haijauchukulia poa uchaguzi huo wala kuuona ni mdogo na wa kawaida bali imeuchukulia kwa uzito ndio maana imeshambulia Mikoa yote 26 kwa kuweka Wagombea na kupeleka vikosi vizito vya Viongozi kuomba kura.
Akiongea na Wananchi, KM Jokate amesema “CCM tumezindua rasmi kampeni kwa kupeleka vikosi vizito ili kuwaonesha Wananchi kwamba CCM ndio Chama kinachoheshimu demokrasia, hatujauchukulia huu uchaguzi kama mdogo au wa kawaida, tumeuchukulia kwa uzito wake ndio maana tumeshambulia Mikoa yote”
“Mpaka sasa ili kuonesha jinsi CCM ilivyodhamiria kwamba huu uchaguzi unatuhusu, tumeonesha tupo serious na uchaguzi kuliko Vyama vingine sisi tumeweka Wawaklishi Vijiji vyote na Vitongoji kwa 100%, wenzetu wa upinzani wameshindwa kujaza Vijiji vyote, mpaka sasa kwa jinsi tulivyojitokeza kushiriki uchaguzi huu tumeshashinda uchaguzi huu kwa 64% , leo tunaanza safari ya kutafuta asilimia zilizobaki, niwaombe Wananchi CCM dhamira yake imekuwa sio tu kushika Dola bali kuwahudumia Wananchi, hivyo tunaomba Wananchi mtupe kura CCM”
Soma: Pwani: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
Kwa kuwa wanao mtaji wa mazuzu waliowaorodhesha kama wafuasi na chawa wao wanaona wakosahihi kwa kila jamboWaambie ukweli Hawa machawa hawaelewi kitu chochote kabisa!
Chama kinaemgua wagombea wenzake kwa kukosea kuandika hefufi Moja tuWakuu,
Ya kweli hayo?
=====
Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo, amezindua rasmi kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mkoa wa Pwani leo November 20,2024 ambapo pamoja na mambo mengine amesema CCM haijauchukulia poa uchaguzi huo wala kuuona ni mdogo na wa kawaida bali imeuchukulia kwa uzito ndio maana imeshambulia Mikoa yote 26 kwa kuweka Wagombea na kupeleka vikosi vizito vya Viongozi kuomba kura.
Akiongea na Wananchi, KM Jokate amesema “CCM tumezindua rasmi kampeni kwa kupeleka vikosi vizito ili kuwaonesha Wananchi kwamba CCM ndio Chama kinachoheshimu demokrasia, hatujauchukulia huu uchaguzi kama mdogo au wa kawaida, tumeuchukulia kwa uzito wake ndio maana tumeshambulia Mikoa yote”
“Mpaka sasa ili kuonesha jinsi CCM ilivyodhamiria kwamba huu uchaguzi unatuhusu, tumeonesha tupo serious na uchaguzi kuliko Vyama vingine sisi tumeweka Wawaklishi Vijiji vyote na Vitongoji kwa 100%, wenzetu wa upinzani wameshindwa kujaza Vijiji vyote, mpaka sasa kwa jinsi tulivyojitokeza kushiriki uchaguzi huu tumeshashinda uchaguzi huu kwa 64% , leo tunaanza safari ya kutafuta asilimia zilizobaki, niwaombe Wananchi CCM dhamira yake imekuwa sio tu kushika Dola bali kuwahudumia Wananchi, hivyo tunaomba Wananchi mtupe kura CCM”
Soma: Pwani: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
Demokrasia ya kuchapisha fomu moja ya mgombea ( Majaliwa, 2023)Wakuu,
Ya kweli hayo?
=====
Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo, amezindua rasmi kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mkoa wa Pwani leo November 20,2024 ambapo pamoja na mambo mengine amesema CCM haijauchukulia poa uchaguzi huo wala kuuona ni mdogo na wa kawaida bali imeuchukulia kwa uzito ndio maana imeshambulia Mikoa yote 26 kwa kuweka Wagombea na kupeleka vikosi vizito vya Viongozi kuomba kura.
Akiongea na Wananchi, KM Jokate amesema “CCM tumezindua rasmi kampeni kwa kupeleka vikosi vizito ili kuwaonesha Wananchi kwamba CCM ndio Chama kinachoheshimu demokrasia, hatujauchukulia huu uchaguzi kama mdogo au wa kawaida, tumeuchukulia kwa uzito wake ndio maana tumeshambulia Mikoa yote”
“Mpaka sasa ili kuonesha jinsi CCM ilivyodhamiria kwamba huu uchaguzi unatuhusu, tumeonesha tupo serious na uchaguzi kuliko Vyama vingine sisi tumeweka Wawaklishi Vijiji vyote na Vitongoji kwa 100%, wenzetu wa upinzani wameshindwa kujaza Vijiji vyote, mpaka sasa kwa jinsi tulivyojitokeza kushiriki uchaguzi huu tumeshashinda uchaguzi huu kwa 64% , leo tunaanza safari ya kutafuta asilimia zilizobaki, niwaombe Wananchi CCM dhamira yake imekuwa sio tu kushika Dola bali kuwahudumia Wananchi, hivyo tunaomba Wananchi mtupe kura CCM”
Soma: Pwani: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024