LGE2024 Jokate: CCM ndio chama kinachoheshimu Demokrasia

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hivi kuchapisha form moja na kuwazuia watu wengine wasichukue form ya Urais ni kuheshimu demokrasi? au kumpa mwanamke madaraka baada ya kutembea na mkubwa wake katika chama nayo ni demokrasi, maana tunazijua siri zenu zote mmefikaje hapo mlipo.
Waambie ukweli Hawa machawa hawaelewi kitu chochote kabisa!
 
Ashukuru mbereko Ila hiyo kazi ya Udc ingekua na interview 🏃🏃🏃🏃 bagoshaaa.

Angekua by now ananyonyesha watoto nyumbani.
 
Chama kinaemgua wagombea wenzake kwa kukosea kuandika hefufi Moja tu

Ccm bana choka mbaya
 
Demokrasia ya kuchapisha fomu moja ya mgombea ( Majaliwa, 2023)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…