Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,819
1st it doesn't make sense y umpe MTU Simu au account yako atumie ts private thing plus this is jf I guarantee hautamani hata rafiki yako ajue username yako so the guy is fu.cking lying
2nd read the 1st line fresh mpenz ni madudu yaleyale
Tatizo la Diamondi ni shule, std7 unategemea atazungu nn na media, nchi za wenzetu wasanii wakubwa wamefka angalau high school. Anashindwa kupima mambo, na hayo ni makosa ys jinai lkn yy anafaham unafkiri! Kipaji ni kikubwa na uwelewa wa mambo no mdogo.
Duniani tuna watu wa aina tatu, kwanza ni wale wanaofikiri cha kuongea kabla hawajaongea. Pili kuna wale wanaofikiria cha kuongea huku wanaongea, na tatu ndio wale wanao-ongea kwanza kisha ndio huja kufikiria ni nini walichokiongea. Ni vema ukachagua kwa usahihi, unapaswa kuwa kwenye kundi lipi kati ya haya?
Vilevile, ni muhimu kujua unayetaka kuingia naye kwenye maisha yako faragha (hata mapenzi) yuko kwenye kundi lipi kati ya haya matatu, kabla hujafanya maamuzi. Mtu anaweza kuwa na kinywa kikubwa lakini akawa haongei sana siri zake za sasa na zilizopita. Kwa kawaida, mdomo hudhibitiwa na ubongo.
Ova
Sio nassib ni nasibu
What's wrong for Mr.Dangote even if you should detective he was Northing why u have keep trust N.ß Delivery its virtal if you has been thinking creatically.D keep it up 4 way Forward with any awfully matter.
Mhhhh,nina swali kuhusu hili ila nitakuuliza chemba.Si unajua hapa umbea umbeani?
Mavi matupu..wewe umeandika kirumi hiki au kimasai?
Aisee... we acha tu! Wengi ndivyo wasemavyo lakini kama ni kweli sijui hayo mambo kaanza nayo lini. Yule jamaa nimesoma nae kuanzia O-Level hadi A-Level lakini kwa kipindi chote hicho hakuwahi kuonesha hata dalili za kuliwa liwa hata element za kike hakuwa nazo!!!Mbona nasikia yule Constantine Magavilla ni shoga? Kuna ukweli wa hili?
Hivi nyie watu mnaosema kwamba Diamond hana uwezo wa kuzalisha mnatumia vigezo gani hasa? Hivi mmeshawahi kutumia japo dakika chache kuwatathimini aina ya wanawake anaokuwa nao?Mwanaume Rijali hawezi ongea ----- kama huo , kweli Dimond unamguu wa mtoto lakini Risasi mpaka zikabustiwe ! acha kutafuta excuse !
What's wrong for Mr.Dangote even if you should detective he was Northing why u have keep trust N.ß Delivery its virtal if you has been thinking creatically.D keep it up 4 way Forward with any awfully matter.
i think i know uuuu
What's wrong for Mr.Dangote even if you should detective he was Northing why u have keep trust N.ß Delivery its virtal if you has been thinking creatically.D keep it up 4 way Forward with any awfully matter.
What's wrong for Mr.Dangote even if you should detective he was Northing why u have keep trust N.ß Delivery its virtal if you has been thinking creatically.D keep it up 4 way Forward with any awfully matter.
Ooohhh come on buddy!.
You are embarrassing yourself.
I would have kept quite if i were u after the first post.
Pdidy,Shyland na Yohana Mazengo wanajiamini kwa kila wanachokiandika. Ajabu ni kwamba wanakushangaa wewe unayewakosoa,yani kwamba wewe ndiye hujui.