warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
- #121
Alivyosemwa sana ndio akadai ile post ya kwanza hakuandika yeye ila rafiki yake ndio aliyeandika kwani hawezi kuandika kitu wakati yeye mwenyewe hawezi kuelewa
Yohana Mazengo katufungulia mwaka kwa style ya aina yake aseeh mi nimempenda kwa kweli, inabidi aingie kwenye club yetu ya maubuyu anafaa sana kwa kweli maana itakuwa shidaaa
Last edited by a moderator: