Jokate: Fomu ya urais ni moja tu

Jokate: Fomu ya urais ni moja tu

Na kwa nini iwe fomu moja tu! Kwa akili na mitazamo ya aina hii, haihitaji mtu kuwa na akili nyingi kugundua ya kuwa hata ndani ya hiyo ccm yenyewe hakuna kitu kinachoitwa demokrasia.
Kwanza ni kwa nini nguvu kubwa sana inatumika ktk kutangaza kuwa fomu ya mgombea Urais itakuwa moja tu??? Why?
Kwa sababu ktk hali ya kawaida 'chema huwa chajiuza chenyewe na kibaya huwa chajitangaza na kujitembeza.'
 
"Ndugu Vijana wenzangu, Secretariat ya CCM katika mapokezi yake ilisema wazi kuwa katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 itatoa fomu 1 kwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye si mwingine bali ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, vilevile kwa upande wa Serikali ya Mapinduzi wa Zanzibar ni Dkt. Hussein Mwinyi.

Nami kwa Niaba ya Viongozi wakuu wa Jumuiya yetu hii ya Vijana niwaeleze kuwa, Jumuiya yetu imepokea msimamo huo na tutazisaka kura zote mtaa kwa mtaa hadi tuhakikishe Viongozi wetu hawa watashinda kwa kishindo". - Ndugu Jokate Mwegelo Katibu Mkuu UVCCM (T)
View attachment 2969589
 

Attachments

  • IMG-20240806-WA0047.jpg
    IMG-20240806-WA0047.jpg
    49.3 KB · Views: 1
Uchaguzi maana yake ni kushindanisha wagombea wawili ili apatikane aliye bora zaidi. Sijui CCM inaogopa nini kila siku mnasifia NANI KAMA MAMA YEYE ila uchaguzi fomu iwe moja.
UDIKTETA MTAACHA LINI
 
Back
Top Bottom