ha ha haJamani vepee hakuna vya kuandika?mtu akiwa shoga anapondwa mtu akifumua vipachupachu anapondwa acheni uthenge,tumewachokaaa...mwengine usikute mama yake aliolewa km mke wa tatu alafu anaponda ma lov ya watu
Wewe ni mshauri rika?Jokate kitakachomponza ni kuona kwamba yuko liberal kuliko misingi. Hao waatu huzaa kama mende kwa sababu hawana gharama ya kutunza watoto. Kwa asili huwa hawana mawazo ya elimu zaidi ya kugombania vyeo bila misingi.
Hiyo ni asili japo kuwa kuna baadhi wameanza kustaarabika na kuona mbele.
La msingi arudi kwenye msingi. Kinyume cha pale, kikombe cha wema hatakikwepa.
Wewe ni mshauri rika?
Mtu/ mtaalamu wa kushauri na kunasihi ambaye rika lake linalingana (halitofautiani) sana na wale anaowashauriSamahani kiongozi. Mshauri rika ni mshauri gani? Umeniacha kando kidogo.
Mtu/ mtaalamu wa kushauri na kunasihi ambaye rika lake linalingana (halitofautiani) sana na wale anaowashauri
sio labda kila mmoja na mama yake, ni kwamba kila mtoto ana mama yake. Ngoja jokate nae amzalie wa nne maana soon utasikia keshapachikwa mimbaKweli akili ni nywele.watoto watatu?? Hakajaoa, tena labda kila mtoto na mama yake!!!na hakajajenga kalisema???kanatiana tuu..
ELIMU ELIMU ELIMUHivi kipaumbele cha Lowasa ni nini vile?
Elimu ElimuHivi kipaumbele cha Lowasa ni nini vile?
Kumlinganisha Bosslady na Jokate/Kiba ni kulinganisha kifo na usingizi. Bosslady can manage hao watoto bila hata Mondi kusaidia, Jokate au Kiba hao watoto watatu siwajui lakini ni ili mradi liendewanafiki utawajua tu kwan ze boss lady ana watoto wanganp na bado life linaenda ivo ivo na mond?
asanteELIMU ELIMU ELIMU
Huyo Bosslady anajishughulisha na nini kinacho muingizia kipato?Kumlinganisha Bosslady na Jokate/Kiba ni kulinganisha kifo na usingizi. Bosslady can manage hao watoto bila hata Mondi kusaidia, Jokate au Kiba hao watoto watatu siwajui lakini ni ili mradi liende
Kwani hao watoto mpaka awalee Jojo?Ndoa ya ali kiba na jokate ni ngumu kutokea, jokate japo alitoa mimba2 za diamond, lakini kamwe hawezi kuolewa wala kumzalia kiba mtoto 4. Mzigo wa kulea watoto wasio wake tena kijiji (watatu)ni mkubwa.
Namshauri kidoti aachane na kiba na atafute mwanaume alietulia mwenye maisha yake na ambaye hana watoto kijiji. Mana hao mama za hao watoto watakusumbua.
Diamond alitaka kukuoa, hukakataa kumzalia sababu eti utaharibu ujana wako, ukapewa mimba2 ukatoa. mama unakuwa mzee, tafuta wa kutulia nae. kina callista hawatakufikisha popote. Mwisho wa siku ukizembea utakuwa kama wemasepetu.
Kajiandae tuje tucheze kokoro.