Jokate hatoweza kulea mzigo wa watoto 3 wa Alikiba

Jokate hatoweza kulea mzigo wa watoto 3 wa Alikiba

Ndoa ya ali kiba na jokate ni ngumu kutokea, jokate japo alitoa mimba2 za diamond, lakini kamwe hawezi kuolewa wala kumzalia kiba mtoto 4. Mzigo wa kulea watoto wasio wake tena kijiji (watatu)ni mkubwa.

Namshauri kidoti aachane na kiba na atafute mwanaume alietulia mwenye maisha yake na ambaye hana watoto kijiji. Mana hao mama za hao watoto watakusumbua.

Diamond alitaka kukuoa, hukakataa kumzalia sababu eti utaharibu ujana wako, ukapewa mimba2 ukatoa. mama unakuwa mzee, tafuta wa kutulia nae. kina callista hawatakufikisha popote. Mwisho wa siku ukizembea utakuwa kama wemasepetu.

Kajiandae tuje tucheze kokoro.
Kaolewe wewe ambae hujatoa mimba na uwezekano wa kuolewa haupo!
 
Aunty Ezekiel tu kuna wakati anachokozwa na mzazi mwezie Iyobo sasa sipati picha Jokate atakavyosumbuliwa na wanawake watatu wa Kiba, labda wawe wastaarabu tu
Kuna yule mmoja ambaye amezaa na Kiba mtoto pekee wa kiume anaitwa mama Sameer!!ana msambwanda wa hajaa,lizuri hilo lidada wacha kabisa!!halafu ni dada wa kihaya wa mjini haswa!

Halafu anamsapoti kiba balaa,yaani wala hajali kama Kuna Jokate atakasirika[emoji38]!!anamposti kiba kwa kwenda mbele wala hajali...halafu ni muangahikaji,.Yule dada Alikiba atakuwa anatembea nae mpaka leo
Kwasababu hana wivu wala ushamba yule dada[emoji38][emoji38]..yule ndio itakuwa anakula na Jokate sahani moja.

Ni mzuri wa shape Jokate anasubiri..
 
Kuna yule mmoja ambaye amezaa na Kiba mtoto pekee wa kiume anaitwa mama Sameer!!ana msambwanda wa hajaa,lizuri hilo lidada wacha kabisa!!halafu ni dada wa kihaya wa mjini haswa!

Halafu anamsapoti kiba balaa,yaani wala hajali kama Kuna Jokate atakasirika[emoji38]!!anamposti kiba kwa kwenda mbele wala hajali...halafu ni muangahikaji,.Yule dada Alikiba atakuwa anatembea nae mpaka leo
Kwasababu hana wivu wala ushamba yule dada[emoji38][emoji38]..yule ndio itakuwa anakula na Jokate sahani moja.

Ni mzuri wa shape Jokate anasubiri..
Mkuu ungetupia picha yake ingekuwa poa!
 
<<< Mapenzi babaa upofu ww utaimba mashairi hapaaaaaaaa wenzio wanajilia vyao tuu >>
 
Ndoa ya ali kiba na jokate ni ngumu kutokea, jokate japo alitoa mimba2 za diamond, lakini kamwe hawezi kuolewa wala kumzalia kiba mtoto 4. Mzigo wa kulea watoto wasio wake tena kijiji (watatu)ni mkubwa.

Namshauri kidoti aachane na kiba na atafute mwanaume alietulia mwenye maisha yake na ambaye hana watoto kijiji. Mana hao mama za hao watoto watakusumbua.

Diamond alitaka kukuoa, hukakataa kumzalia sababu eti utaharibu ujana wako, ukapewa mimba2 ukatoa. mama unakuwa mzee, tafuta wa kutulia nae. kina callista hawatakufikisha popote. Mwisho wa siku ukizembea utakuwa kama wemasepetu.

Kajiandae tuje tucheze kokoro.
Mwanaume wa Dar
 
Mtoa mada, wewe utawaweza watoto wa Ally K? Vipi na Ally K mwenyewe, utamuweza?
 
Kama amempenda kweli...hatojali 'kijiji' chake.
Watoto ni baraka,hakuna sababu ya kuvunja mahusiano kisa mwenzi wako ana watoto.

Kikubwa uaminifu tu.Unaweza kumkataa mwenye watoto ukaolewa/kuoa asiye na hata mtoto mmoja akaishia kukuletea watoto wa nje kila uchwao.
toka nikufahamu nifah hujawahi kunidisapoint kwenye comment zako kwenye jukwaa zote...inaonekan we ni msomi sana big up sana.
 
Ndoa ya ali kiba na jokate ni ngumu kutokea, jokate japo alitoa mimba2 za diamond, lakini kamwe hawezi kuolewa wala kumzalia kiba mtoto 4. Mzigo wa kulea watoto wasio wake tena kijiji (watatu)ni mkubwa.

Namshauri kidoti aachane na kiba na atafute mwanaume alietulia mwenye maisha yake na ambaye hana watoto kijiji. Mana hao mama za hao watoto watakusumbua.

Diamond alitaka kukuoa, hukakataa kumzalia sababu eti utaharibu ujana wako, ukapewa mimba2 ukatoa. mama unakuwa mzee, tafuta wa kutulia nae. kina callista hawatakufikisha popote. Mwisho wa siku ukizembea utakuwa kama wemasepetu.

Kajiandae tuje tucheze kokoro.
ww mbea halafu utakuwa dume tu umejificha nyuma ya smartphone yako
 
Back
Top Bottom