Jokate: Kuachana na Hasheem Thabeet kilikuwa ni kitu kibaya zaidi kutokea kwangu

Tatizo alipo haoni utamu wa pesa, bali yeye kutumia zake kushikilia penzi kumbe feki. Anatafuta tiketi ya kurudiwa, ni mkosi huyu mwanamke.

Haiwezekani amuongelee mwingine kiueazi hivi, kama angekuwa na furaha sana kwa mengi na aliyenae sasa. Wanatatizo, bidada hahudumiwi anavyotaka na Mondi ndio nae yuleeeeeeeee
 
daahh huyu dada alivumilia ile kipande ya jamaa.daahh me hata bure akunipa staki
 
Sasa hapo kichwani ndio kavaa nini?
 
I ended up doing vitu vya kijinga like dating domo.....apo ndo patamu yaani ukisikia demu analalamika kujuta kuwahi kuwa na ww kimapenzi ujue kuna jambo limejificha
 
Nimeng'amua vitu viwili tu hapo kutoka kwa Jokate:-
1.KuDate na Diamond ilikuwa ni Ujinga.
2.Uhusiano wake Na KIBAKULI si Bora kama Wa EX-NBA.
 
Jokate kaunganisha timu kiba na timu mondi kama vile mkuu alivyounganisha wizara za nchi yetu, amejitahidi sana kuwa mzalendo.
 
Jidanganye
Hahaha am almost six foot lkn in most girls opinion and according to average online qm the longest.am 8.6 inch
Kama ningekuwa naendana na urefu bas i could be among the tallest in the world au wazungu ndo wangekuwa with the longest penis
Besides kama usemavyo mandingo ndo angekuwa nae among the tallest people in the universe

Ni kaama ile dhanalia kuwa waschana warefu wana mashimo marefu ambayo it realy arent true,wafupi wengi ndo wako hvyo
Najua we unajarbu kutumia hii kujastify na urefu fako lkn stick to the truth
Lkn kama we ni mref na uko unayo long ok well en gud sio kila mtu yuko hivyo
 
Mengine_sitaki_kuyaamini.

But,nimependa_anavyoelezea.
Great_girl.
 
Kujutia kuvunjika kwa mahusiano yako yaliyopita wakati upo na mwingine kwa sasa, ni kosa ktk kanuni ya mapenzi,tena mbaya zaidi analiongelea hilo hadharani.
Ni kweli kabisa inaonyesha huyu alienae, yupo yupo tu, ila moyo wake bado upo kwa mpenzi wake yule wa mwanzo.
 
Huyu demu ni kicheche wa kimyakimya,afu anasema hayo huku ana uhusiano na mtu mwingine[emoji15] means hasheem akiomba game demu hapindui huyu,,haaaha
 
Huyu binti anaonekana ngongoti kavuruga kila kitu upana urefu wa mbunye sasa hawa kina sisi ukiingia pale ni sawa na kengele ya Kanisa bila kuangaika hailii.
Sasa ukijifanya mtu wa minyama ndani minyama nje unajidanganya hata ufinye matako vipi.
Labda kisanduku kama nacho hakijavurugwa
 
Kisanduku ni nini mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…