Hamis Juma
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 2,229
- 2,272
Tumia njia ya pugu road[emoji6] [emoji6]Aseee namtamang huyu mtt kinyama cjui ntumie njia gani kumpata na mm cna fedha
Si ndo hapo? ... Wamemualika na wamepata kiwanja na vyoo. . But haters keep their negativityMchango aloahidi viongozi wengi wasingeweza kutoa.
Ulitaka wamwalike nani mkuu?Shule za kata bana,yani walikosa kabisa mtu wa kumualika?
Mpaka useme kibakuli Kama vile Hujui jina lake!,ajabu sana. Kama humfurahii mtu Basi furahia hata mchango wake kwenye jamiidemu wa kibakuli katika ubora wake
Inajihusisha na kidot hair,anatengeneza wiving,wigi za kuvaa,vibanio,rasta kifupi anajitahid na nywele zake zimesambaa sana kila sehem hivyo yupo vizur nampongeza kwa hilo kathubutu na kaweza.Hivi hiyo kampun ya kidoti inajihusisha na nini
daah.. kama mimi asee, ila ndo hivo nature imeshatutengaAseee namtamang huyu mtt kinyama cjui ntumie njia gani kumpata na mm cna fedha
Sasa kwan uongo?ukweli mchungu ila jitahd kumezaHahaha...Sio povu...watu huwa mnakuwa negative muda wote na kujifanya mko perfect sana....
Watu wa maan ndo wepi hao? Na kwa nini unadhani Jokate si mtu wa maana?Nashangaa sana hizi shule badala ya kualika watu wa maana wanaalika huyo, sasa hapo watoto wetu wanajifunza nini?jokate ndiyo awe role model wao?