Wewe unajuaje Kama hana mume na hajafunga ndoa?Inawezekana siyo sheria lkn kiustaraabu siyo vizuri kabisa. Kupata mimba bila mume kwa Afrika yetu na kidini ni chukizo. Tunaomba viongozi tuwe na haiba. Jamii inamchukuliaje sasa?
Wewe unajuaje Kama hana mume na hajafunga ndoa?Hakuna kumungunya maneno hatuwezi kuendelea kuongozwa na Kiongozi asiye na maadili ya utumishi, anayetarijiwa Kupata mtoto nje ya ndoa, atawashauri nini na kuwafundisha nini mabinti zetu mashuleni, ambao wengi wao wanamchukulia kama role model wao.
Jamii na Watumishi wenzake anaowasimamia watamchukuliaje?, Kiujumla tayari kapoteza sifa za kuendelea kushika wadhifa huo.
Mh. Rais tuletee DC mwingine Temeke mwenye maadili ya utumishi.
#Rais teua DC mwingine Temeke
Acha uongo..Niliwahi kusikia Mzee Wake ni Mchungaji.... !
Kama ni hivyo anamuaibisha.. Akamatwe afungishwe ndoa Na huyo aliyempachika Mimba..! Kwa Shuruti.
Mtaani tunaita ndoa mkeka.
Bora useme we dear.Ifike kipindi tuache kuteseka na maisha ya wengine ili hali ya kwetu yanatushinda.
Wazinzi utawajua tuu🤣🤣🤣🤣Nadhani swala la ndoa, mahusiano, ujauzito, uzazi, watoto, ni la kibinafsi zaidi ndugu mleta mada.
Safi sana naona wanaume wanaendelea kutekeleza makubalia o yetu ya kikao kwamba; no kuoa ni kugegeda na kutia mimba tuu🤣🤣🤣🤣Katika utumishi wa nchi Kiongozi anayeongoza wilaya, mkoa n.k ambaye kikatiba anamwakilisha Rais wa Nchi, kubeba mimba au kuzaa pasipo kuwa na ndoa inatoa taswira hasi kwa wale unaowaongoza.
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mh. Jokate Mwegelo kwa sasa ana mimba na anatarajiwa kupata Mtoto, lakini kitu cha kushangaa haijulikani kama ana mume au ameolewa jambo ambalo katika maadili ya utumishi linamshusha hadhi.
Mtumishi wa serikali anayetumikia nafasi kama hii kuzaa bila ndoa haileti mantiki kwani wananchi unaowaongoza wanaweza kudhani Kiongozi wao unaruka ruka hovyo na wanaume na hivyo kukushusha hadhi.
Taasisi za dini kama katoliki, mtumishi wao tofauti na watawa ukizaa bila kuolewa tena ndoa unafukuzwa kazi, kwa sababu wanaamini utaleta uzinifu kwenye taasisi yao.
Watumishi wa serikali wenye vyeo vya juu kiutumishi hakikisheni mnafunga ndoa, ili kuleta heshima kwa mnaowaongoza.
View attachment 2290818
Kwa hiyo kama hakuna aliyejitokeza kumuoa abaki hivyo hivyo bila mtoto?Nakubaliana na ww, lakini yeye kwa nafasi ya Utumishi anayoitumikia anatakiwa kuwa mfano kwa wananchi wake, mkuu wa wilaya anaishi kama bachelor, haileti picha nzuri kabisa.
Mkuu pendaeli ubinafsi hapo upo wapi wakati tendo hilo linaonekana hadharani naNadhani swala la ndoa, mahusiano, ujauzito, uzazi, watoto, ni la kibinafsi zaidi ndugu mleta mada.
We bwana vipi mbona unakomaa na vitu siyo vyako umeambiwa katege ubebe na wewe,monyo!!Nakubaliana na ww, lakini yeye kwa nafasi ya Utumishi anayoitumikia anatakiwa kuwa mfano kwa wananchi wake, mkuu wa wilaya anaishi kama bachelor, haileti picha nzuri kabisa.
Nenda katege na weweSiyo bure jamiiforums imeingiliwa... Kiongozi wetu kuwa mzizi siyo faragha. Ingekuwa faragha hiyo mimba isingeonekana pia. Tukubariane huo ni uzinzi na uhuni FULL STOP
🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo kama hakuna aliyejitokeza kumuoa abaki hivyo hivyo bila mtoto?
Kabisa...mia mia. Napendekeza kwenye katiba mpya wawepo polisi wa kulinda maadili. Wazinzi wote sompeka ndani au chinja kabisa. Tena waanze na mie mzabzab.Hatutaki malaya kwenye ofisi za umma