Jokate Mwegelo: Yanga bingwa msimu huu

Kwa fowad yakina sibo mana na molinga? Aache utani bwana, yanga ili sajili kwa mbwembwe na mbeleko za magazeti hai kusajili kitaalamu kama simba ndio maana timu inacheza kama gari lililo katika stelingi.
 
Kwa fowad yakina sibo mana na molinga? Aache utani bwana, yanga ili sajili kwa mbwembwe na mbeleko za magazeti hai kusajili kitaalamu kama simba ndio maana timu inacheza kama gari lililo katika stelingi.
Itawalazimu waiombe TFF + BODI YA LIGI wacheze game kama 10 za ligi pale taifa mfululizo ili wazoeane.
Tofauti na hapo labda wajifunike shuka moja mwezi mzima.
 
Simba mbovu tu..ila Azam mbovu zaidi..kipindi Cha Kwanza Azam walikuwa wanamaliza game..Kocha mduwanzi unawaacha vipi nje wakina Chirwa..naona Tshabalala alilala na viatu Chirwa sio mchezo..
 
yeye angeendelea na kazi yake ya kuichangia timu yao ubingwa haupatikani kwa kuongea mdomoni wasifikiri siasa zao wataleta mpirani
 
Kwa wachezaji gani walio nao? Molinga ?!watasubili sana na ninatabili zahera atakuwa kocha wa kwanza kuonja joto la jiwe baada ya mechi ya Botswana
 
Sure boy na Azam y

ake siyo kipimo sahihi kabisa cha soak la TZ maana ni timu ambayo haina vision hata kidogo. Mwaka jana haikuwa ya kuzidiwa na Yanga mdebwedo.wao kula nne haimaanishi kuwa wao ni bora baada ya Simba. Kila gem ina strategy yake.
 
Ndoto za alinacha. Ajikite katika mapambano dhidi ya umasikini na divisheni zero wilayani kisarawe. Mambo ya ubingwa wa Tanzania bara aiachie Simba..
Mtakuja kulia nyie mikia FC ohooooo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…