Jokate: Nasikia raha kukaa Utupu nikiwa Chumbani

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440

Jokate Mwegelo akiwa kwenye pozi

Modo ambaye pia anafanya muziki na ujasiriamali, Jokate Mwegelo amefunguka
huwa anasikia raha kutovaa chochote. Akizungumzia maisha yake ya kimapenzi, Jokate alisema haoni aibu kusema akiwa faragha na mpenzi wake hapendelei kuvaa kitu kwani ni eneo la kujiachia.

"Kwa kweli nikiwa chumbani na mpenzi wangu sipendi kuvaa kitu kabisa" alisema Jokate kwa kifupi.

Chanzo: GPL
 
Tulishamsahau....binti huyu kila ukimgusa anasema hana mpenzi sasa hapa mpenzi yupi?
 
Akae tu mradi awe alone

Mwenzie bosiledi wa uganda picha zake za utupu akiwa anajikoboa zimeliki
 
mtembelee usipojipanganitakupanga ujiojee mwenyewe mamaaa, kama ni kweli aiseee!!!!! ni hatariii

Kunani tena?? Ebu nipe ubuyu, maana presha ipo juu mpaka naona nachelewa kuingia insta
 
Kesho atasema anajisikia raha kufirw*
 
Zarina nae ndio nini kujirecord akiwa anapiga nyeto mmmh sasa wale watoto wake wakiona si aibu mmh sahizi kabaki kujitetea tu mmmh
 
Zarina nae ndio nini kujirecord akiwa anapiga nyeto mmmh sasa wale watoto wake wakiona si aibu mmh sahizi kabaki kujitetea tu mmmh

Halafu bila aibu anajitetea kuwa ni private life mmmfyuuuu zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…