LGE2024 Jokate: Rais Samia ameuthibitishia ulimwengu Tanzania ina Demokrasia imara, vyama vina wagombea na kampeni zimeisha kwa amani

LGE2024 Jokate: Rais Samia ameuthibitishia ulimwengu Tanzania ina Demokrasia imara, vyama vina wagombea na kampeni zimeisha kwa amani

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,


Mkuu wa UVCCM Taifa Jokate Mwegelo amesema Rais Samia ameuthibitishia Ulimwengu kwamba Tanzania ina demokrasia kwasababu hadi sasa hakuna machafuko yaliyotokea kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vyama vingi vinashikiri ambapo amewataka pia Vijana ku kutothubutu kujiingiza katika vurugu siku ya kesho Uchaguzi unapofanyika.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Jokate amesema hayo leo November 26, 2024 katika Kijiji cha Ulembwe Wilaya ya Wanging’ombe Mkoani Njombe wakati akifunga kampeni za uchaguzi huo unaofanyika kesho ambapo amewasihi pia Vijana wakishapiga kura warejee kwenye shughuli badala ya kubaki kwenye vituo vya kupigia kura na kusababisha vurugu.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jokate: CCM ndio chama kinachoheshimu Demokrasia
 
Wakuu,

Mkuu wa UVCCM Taifa Jokate Mwegelo amesema Rais Samia ameuthibitishia Ulimwengu kwamba Tanzania ina demokrasia kwasababu hadi sasa hakuna machafuko yaliyotokea kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vyama vingi vinashikiri ambapo amewataka pia Vijana ku kutothubutu kujiingiza katika vurugu siku ya kesho Uchaguzi unapofanyika.

Jokate amesema hayo leo November 26, 2024 katika Kijiji cha Ulembwe Wilaya ya Wanging’ombe Mkoani Njombe wakati akifunga kampeni za uchaguzi huo unaofanyika kesho ambapo amewasihi pia Vijana wakishapiga kura warejee kwenye shughuli badala ya kubaki kwenye vituo vya kupigia kura na kusababisha vurugu.

na upendo”
ukweli mtupu,

my lady,
usipange kukosa kwenda kupiga kura kesho 🐒
 
Wakuu,

View attachment 3162603

Mkuu wa UVCCM Taifa Jokate Mwegelo amesema Rais Samia ameuthibitishia Ulimwengu kwamba Tanzania ina demokrasia kwasababu hadi sasa hakuna machafuko yaliyotokea kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vyama vingi vinashikiri ambapo amewataka pia Vijana ku kutothubutu kujiingiza katika vurugu siku ya kesho Uchaguzi unapofanyika.

Jokate amesema hayo leo November 26, 2024 katika Kijiji cha Ulembwe Wilaya ya Wanging’ombe Mkoani Njombe wakati akifunga kampeni za uchaguzi huo unaofanyika kesho ambapo amewasihi pia Vijana wakishapiga kura warejee kwenye shughuli badala ya kubaki kwenye vituo vya kupigia kura na kusababisha vur
 
Wakuu,

View attachment 3162603

Mkuu wa UVCCM Taifa Jokate Mwegelo amesema Rais Samia ameuthibitishia Ulimwengu kwamba Tanzania ina demokrasia kwasababu hadi sasa hakuna machafuko yaliyotokea kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vyama vingi vinashikiri ambapo amewataka pia Vijana ku kutothubutu kujiingiza katika vurugu siku ya kesho Uchaguzi unapofanyika.

Jokate amesema hayo leo November 26, 2024 katika Kijiji cha Ulembwe Wilaya ya Wanging’ombe Mkoani Njombe wakati akifunga kampeni za uchaguzi huo unaofanyika kesho ambapo amewasihi pia Vijana wakishapiga kura warejee kwenye shughuli badala ya kubaki kwenye vituo vya kupigia kura na kusababisha vurugu.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jokate: CCM ndio chama kinachoheshimu Demokrasia
Ujinga wa ki-Tanzania
 
Anaamini ulimwengu ni wajinga kiasi kuwa huu upuuzi unaoendelea haufahamiki hadi ionekane ndio uthibitisho wa demokrasia?
 
Huyu Jokate atafute mume wa kumliwaza, anaonekana kuwa na stress za upweke na usingo mama.
 
Wakuu,


Mkuu wa UVCCM Taifa Jokate Mwegelo amesema Rais Samia ameuthibitishia Ulimwengu kwamba Tanzania ina demokrasia kwasababu hadi sasa hakuna machafuko yaliyotokea kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vyama vingi vinashikiri ambapo amewataka pia Vijana ku kutothubutu kujiingiza katika vurugu siku ya kesho Uchaguzi unapofanyika.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Jokate amesema hayo leo November 26, 2024 katika Kijiji cha Ulembwe Wilaya ya Wanging’ombe Mkoani Njombe wakati akifunga kampeni za uchaguzi huo unaofanyika kesho ambapo amewasihi pia Vijana wakishapiga kura warejee kwenye shughuli badala ya kubaki kwenye vituo vya kupigia kura na kusababisha vurugu.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jokate: CCM ndio chama kinachoheshimu Demokrasia
Hana hata aibu, malalamiko yote hayo anasema kuna demokrasia. Uongo ndio unaowalisha si bure.
 
Akaongezea Tanzania sio masikini ila wananchi wake ndio masikini, kwa maana hiyo Tanzania iondolewe kwa kundi la nchi maskini na sababu alitoa.
 
Uongo.samia kaudhibitisha ulimwengu kuwa yeye ni dikteta.ameua wapinzani kama mzee kibao,soka,mbise,sativa,beni saanane,alikosakosa tudulisu na wengine wengi zaidi ya miamoja kama walivyoorodheshwa na TLS.huyu mama hakufaa kabisa hata kidogo
 
Huyo Jokate kumbe kichwani ni mweupe kiasi hiki? Hawa watu low brain kiasi hiki, CCM inafaidikaje nao?

Habari ya eti mtu akipiga kuwmra aende nyumbani ni uwendawazimu.
 
Huku kwetu tuliambiwa chadema wakikupigia mikekele ikakubugudhi piga SIMU chap tuwashughulikie.
 
Stupid jokate. Ulimwengu gani wafuatilie uchaguzi huu uliojaa uonevu.
 
Back
Top Bottom