Joke: Ingekuwaje bible ingeandikwa ktk mazingira ya leo?

Ndugu yangu Rainbow napenda nikuhakikishie kuwa namwamini na namfwata Mungu ninayemjua na wala sibahatishi hata kidogo,nikutangazie tu kwamba mimi ni mkirsto tena Mkristo halisi na si wa mapokeo,

Kawawahikikishie na kawatangazie wanaoyahitaji hayo. hoja zimekuishia?
 
Sikuwa wala sijawahi kuwa pamoja na Yesu,ila pia kumjua na kumfwata Mungu hakutegemei kuwa na yesu,hata Yuda aliekuwa na yesu yalimshinda,swala la msingi ni uhusiano wako na Mungu,na ni swala la Imani

Na pamoja na kushindwa kwake, bado watu wanayaamini aliyoyaandika. very funny!!!
 
Afadhali na akheri za barua za wanazuoni akina Paulo, kuliko utumbo unaokutikana ktk kitabu cha Mwamedi.

Na amefanikiwa kweli kuziteka bongo zenu zilizotindia. kwa akili zenu hizo lazima mumuone mwanazuoni. Hadi leo mmerithi yale maono aliyodai yalimtokea. Na huu ndio urithi wake km inavyodhihirika kwa utitiri wa "manabii".
 
Na amefanikiwa kweli kuziteka bongo zenu zilizotindia. kwa akili zenu hizo lazima mumuone mwanazuoni. Hadi leo mmerithi yale maono aliyodai yalimtokea. Na huu ndio urithi wake km inavyodhihirika kwa utitiri wa "manabii".


Kaazi kwelikweli.....this was meant to be a mere joke......sasa naona wazee mlitaka kuligeuza jukwaa la dini ghafla!
 
Kwani tatizo ni mvutio wa lugha ya biblia au ni kupata neno la Mungu? Style yeyote utakayoandika haitasaidia kitu!
 
Biblia ibaki vile vile ila wahubiri watumie lugha kuendana na rika na nyakati kufikisha same message kwa hadhira. PERION. Msiongeze wala kupunguza neno.
 
hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa..mbavu zangu mimi....
 

Uko sahihi. Kama inawezekana ikaandikwa hivyo na ikasomwa na vijana wengi sawa, ili mradi isipoteze maana. Kulingana na taratibu za lugha zote na kama kilivyo Kiswahili, hubadilika kulingana na mazingira na wakati. Ndio maana imeandikwa Biblia na imeelezwa kuwa ni ya kiswahili cha kisasa. Ingawa haitakuwa Biblia rasmi lakini inaweza kuvuta watu kuisoma na kulielewa neno la MUNGU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…