Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Aliyekuwa miss Tanzania nambari mbili Jocate Mwegelo "jojo" amefunguka kuwa kuna mtu anamtamani sana kimapenzi na anamvutia kasi kumpata
Kupitia bonge moja la show weekend "the playlist" Kidoti, alisanuka hayo akihusisha ukweli huo na kile alichokiimba kwenye hit single yake "Leo leo" na Ice Prince
"Yah nyimbo inahusiana coz kuna mtu namtamani sana yan namtamani sana kwa kweli lazima nitampata mtu lakin hakusema ni nani huyo, tusubiri tuone ila hasije kuwa mme wa mtu!
