Jolie Detta: Mwanamuziki wa Kwanza wa kike kuimba bendi ya TP Okk Jazz

Franco aliwapa miwaya warembo wengi okk jazz kuna yule anaitwa mpongo love alikufa não mwaka 1994, franco yeye alikufa 1989
Kuna mwingine alikua akiitwa Nyota Yondo ni pacha wa Yondo Sister waliimba pmj na Jolly Deta alikua mrembo sana pia, nadhani Franco alipita naye kipindi kile kile kafariki dunia.

Ukiangalia kuna wengi hasa T.P Okk Jazz walifariki kipindi cha 1989 na 1996!
Mfano Djo Mpoyi, Ntessa Daliest,Jerry Dialunguma,Mpundi Deca,Aime Kiwakana na wengine wa miaka iliyofuatia ni wengi mno.

Mziki huo umepoteza wanamziki wengi hasa Tp Ok na Zaiko langa langa.
 
Dah ngoma iliwamaliza, una detais zaidi kuhusu mume wa Jolie Detta?
 
Wanamuziki wa okk jazz walikufa vifo vya kufuatana sijui kwanini
Franco 1989, ntesa daliest 1990, mpongo love 1994 nk
 
Jamani bado sajaupata!
"Nikauliza Mugo iko nini ee! iko nini ee! iko nasikia?"
Mugo akanijibu hivi ni maradhi yaalombee Magiee!!
Mugo simama turudi nyumbani kwetu nyumbani wanguu!!
Unihurumie sababu yake ilipita zamani tutunze batoto betu papaa!!
 
Very bitter [emoji18][emoji18]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…