Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuo kikongwe hicho
Chuo kizuri sana ondoa hofu
Please naomba msaada wenu. Nataka kuchukua form Jomo Kenyata University Arusha branch for post graduate project management course.
Naomba mwenye kujua chochote before sijatake hiyo hatua wiki ijayo. Kwa sasa mimi ni muajiriwa.
asante sana ngoja nefeed form zao j3 nipeleke
Please naomba msaada wenu. Nataka kuchukua form Jomo Kenyata University Arusha branch for post graduate project management course.
Naomba mwenye kujua chochote before sijatake hiyo hatua wiki ijayo. Kwa sasa mimi ni muajiriwa.
Kwanini usisome Master kabisa? Tofauti ya PG na Master ni kwamba PG hutafanya Research hivyo ingawaje umesoma masomo yale yale ya Master bado huhesabiki kwenye kundi la wenye Master. Ni ushauri tuu
Kwani nyinyi huko TZ kuna tofauti ya Post-graduate na Masters. Huku post graduate degree ni masters. waweza pata post-graduate diploma. Unapochagua postagrduate degree, mwenyewe utaamua kama wataka ile ya Thesis, au ya Project. Unapofanya ya Thesis basi kwa kawaida utakubaliwa kufanya PHD. Usipofanya ya thesis ufanye ya project, basi hutakubalika kufanya PHD.
Kwani nyinyi huko TZ kuna tofauti ya Post-graduate na Masters. Huku post graduate degree ni masters. waweza pata post-graduate diploma. Unapochagua postagrduate degree, mwenyewe utaamua kama wataka ile ya Thesis, au ya Project. Unapofanya ya Thesis basi kwa kawaida utakubaliwa kufanya PHD. Usipofanya ya thesis ufanye ya project, basi hutakubalika kufanya PHD.
Prob Arusha Mzumbe kimbilio la wengi kwa masters ( nazungumzia issue ya fee) hawajafika ..mwaka jana walijitangaza wanakuja tuchukue form watu tukachukua mwisho wa siku wakasema kuitikio haukua mkubwa watapata hasara...tuna vyuo vichache kwa masters na vyenye limit ya masomo
Kuna ESAMI, IAA, Mount Meru University.
ESAMI mil 11 baba kujisomesha mwenyewe usawa huu?labda ofisi inipe offer but lini? IAA kuna za watu wa FINANCE ndo wenye wigo mpana.....MOUNT MERU wanataka mwisho GPA 3..mi nina 2.9
Please naomba msaada wenu. Nataka kuchukua form Jomo Kenyata University Arusha branch for post graduate project management course.
Naomba mwenye kujua chochote before sijatake hiyo hatua wiki ijayo. Kwa sasa mimi ni muajiriwa.
It is better you wait untill you are financially capable. PGD ni kupoteza muda kama wewe ni wa kuajiriwa; ukiangalia matangazo yote ya kazi wala PGD haizungumzwi kabisa ni First Degree, Master / MBA added advantage. Mimi katika Master yangu uelewa wangu ulipanuka sana kwenye kuandaa Dessertation na kwa kuwa kazi zangu zinahusiana kutoa report, uandishi wangu wa report sasa ni tofauti sana. Kaza buti, kama una access ya internet unaweza hata kusoma ONLINE. Tofauti ONLINE is too demanding hakuna excuse kwa Professor wako
ESAMI mil 11 baba kujisomesha mwenyewe usawa huu?labda ofisi inipe offer but lini? IAA kuna za watu wa FINANCE ndo wenye wigo mpana.....MOUNT MERU wanataka mwisho GPA 3..mi nina 2.9