cmoney
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 3,570
- 5,508
MZEE HONGERA kwa kuweza bakiza historia ambayo kizazi chetu na wazee wetu wamekua wavivu kuandika labda makusudi au kutokutaka..nikitaka nakala ya hiki kitabu naweza kukipataje?
Numbisa,
NIngeandika kitabu changu kwa nia ya kumdogosha Mwalimu Nyerere kitabu kingekufa na sidhani kama ningeweza kupata mchapaji wa maana na vilevile kuweza kupata mialiko kutoka kwa wasomi wa historia ya Afrika.
Halikadhalika kitabu kisingependwa kwa kufikia kuchapwa sasa mara nne na tunakwenda toleo la tano.
Mimi napongezwa kote hakuna anaenihurumia.
Hivi sasa nishapokea nishani tano kwa kazi hii.
Mimi nakupa pole wewe.
View attachment 2990908