Tetesi: Jonas Mkude alivyowaponza wachezaji watano wa Simba kwa tuhuma za kuuza mechi ya derby

Tetesi: Jonas Mkude alivyowaponza wachezaji watano wa Simba kwa tuhuma za kuuza mechi ya derby

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Ile mechi ya derby Simba anakufa goli 5 haikuiacha timu salama.

Inadaiwa Wachezaji 5 wa Simba, Chana, Manula, Saidoo, Inonga na Baleke, walituhumiwa kupokea kiasi kikubwa cha pesa toka jangwani.

Muhusika mkuu aliyefanikisha hiyo miamala anadaiwa kuwa ni Jonas Mkude ambaye uongozi wa Simba ulijiridhisha pasi na shaka kuwa ni yeye baada ya mechi kuisha.

Malipo ni hapahaoa duniani, Mkude na Chama maisha yao pale jangwani hayawezi kuwa ya furaha, hawaaminiki

Mechi ya juzi na zile 2 tulifungwa kihalali kabisa Yanga kwa sasa wanakikosi imara sana
 
Ujinga
Ile mechi ya derby simba anakufa goli 5 haikuiacha timu salama.
e na Chama maisha yao pale jangwani hayawezi kuwa ya furaha,hawaaminiki
Huu. Hauna ushahidi wowote unaongea kwa hisia tu
 
Ile mechi ya derby simba anakufa goli 5 haikuiacha timu salama.

Wachezaji 5 wa Simba,Chana,Manula,Saidoo,Inonga na Baleke,walituhumiwa kupokea kiasi kikubwa cha pesa toka jangwani.

Muhusika mkuu aliyefabikisha hiyomiamala ni Jonas Mkude ambaye uongozi wa Dimba ulijiridhisha pasi na shaka kuwa ni yeye baada ya mechi kuisha.

Malipo ni hapahaoa duniani,Mkude na Chama maisha yao pale jangwani hayawezi kuwa ya furaha,hawaaminiki
Kama siyo refa, basi juzi zilikiwa 4, na hizo wangewatuhumu wachezaji kuhongwa? Vipi kuhusu zile 2 za mechi ya juzi?
Ngao ya jamii imethibitisha kwamba wai ni namba 3 halali, je wanasemaje kuhusiana na hilo?
 
Kama siyo refa, basi juzi zilikiwa 4, na hizo wangewatuhumu wachezaji kuhongwa? Vipi kuhusu zile 2 za mechi ya juzi?
Ngao ya jamii imethibitisha kwamba wai ni namba 3 halali, je wanasemaje kuhusiana na hilo?
Mechi ya juzi tumefungwa kihalali,yabga wako vixuri kuliko dimba,ila sio kufungwa goli 5
 
Mechi ya juzi tumefungwa kihalali,yabga wako vixuri kuliko dimba,ila sio kufungwa goli 5
Unabofoa mno mkuu dah! Dimba ndio timu gani? Yabga ndio mboga gani ya majani?
 
Ile mechi ya derby simba anakufa goli 5 haikuiacha timu salama.

Wachezaji 5 wa Simba,Chana,Manula,Saidoo,Inonga na Baleke,walituhumiwa kupokea kiasi kikubwa cha pesa toka jangwani.

Muhusika mkuu aliyefabikisha hiyomiamala ni Jonas Mkude ambaye uongozi wa Dimba ulijiridhisha pasi na shaka kuwa ni yeye baada ya mechi kuisha.

Malipo ni hapahaoa duniani,Mkude na Chama maisha yao pale jangwani hayawezi kuwa ya furaha,hawaaminiki

Mechi ya juzi na zile 2 tulifungwa kihalali kabisa yanga kwa sasa wanakikosi imara sana
Kuanzia leo nimekuona wa ovyo baada ya kuandika uzi huu
 
Back
Top Bottom