Moshi25
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,555
- 4,118
Wahi kwenye clinic yako kule Mirembe tarehe yake imefika haraka nakukumbusha ni kesho mzee, ila usisahau kupitia kadi yako ya matibabu unayotunza kwa Mzee Rage kule kwenu mbumbumbu street.Yanga haina uwezo wa kuifunga Simba 5,ipo wazi hiyo..pasipo kubebwa na kuhonga lazima wale chuma hata kama Simba sc wapo 8 uwanjani
Kila mwenye akili ameona derby bila Sasii kuwatoa Yanga mchezoni kwa kutoa faulo upande mmoja tu wa Simba na kuzuia kila shambulizi la Yanga baada ya kupora mpira, haki ya shetani, mngekula chuma 6 au 7 , tafuta mtu anaesemaga ukweli kamuulize kuhusu mziki wa uto, kawaulize Azam ulimi nje, nadhani itakuwa umesepa Mirembe kabla ya daktari kupita round.
Kama mtani huna macho ya kuona pira Gamondi ujue dish lako limeyumba!
Wakati mwingine hasira zikizidi huleta upofu!! Kama vipi hamia uto!