Jonas Mkude anahitajika mnoo kipindi hiki

babacollins

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2010
Posts
901
Reaction score
212
Kwa muda alioichezea timu ya Simba na mapitio aliyoyapitia na kuendelea kupata namba katika kikosi cha timu ya Simba mpaka leo; ni wazi kabisa baada ya kupoteza mchezo jumapili iliyopita, Mkude ni mchezaji muhimu mnoo kama atatumika vizuri katika kuhakikisha wenzake wanasahau yaliyopita na kwa sasa kuangalia jukumu lililopo mbele yao. Sio bure pamoja na kukosa penalti alionesha utulivu.
Kifupi katika kipindi kama hiki, yeye ni mchezaji kiongozi sahihi kabisa.

Mchezaji kiongozi.
 
Ni Kweli huyu ni Mwamba! Kizazi chake Kama Kina Ndemla na Wengine Wameshaondoka Simba Lakini Yeye bado Anaendelea Ku shine...!
Anaweza Kuingia Kwenye Kundi la Wachezaji Walioondoka Simba Kwa Heshima Kubwa Kama Moh'd Mwameja, Madaraka Suleiman 'Mzee Wa Kiminyio' ,Malota Soma 'Ball Jugler' na Wengine wa calibre hiyo...!
 
Jonas Mkude mwenyewe sasa



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…