Jonas Mkude anajua kuchagua fursa

Jonas Mkude anajua kuchagua fursa

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Yaan kama kuna mchezaji nimemheshimu msimu huu n mkude

Mkude anajua fursa

Mkude alipoitwa Yanga, Simba walimbeza sana sana

Wakamdharau lakini akaisaidia yanga

Leo hii viongozi wa mashabiki wanalia mbona wanaochukuliwa na yanga toka simba wanacheza vizuri shida ikowapi?

Haitoshi chamahuyooo jaman weh lazima waulizwe wachezaji wa simba shida nn alisikika kiongozi wa mashabiki

Sasa wakati maalum wa kuielewa Yanga haibebi tu kama mzoga inaona fursa na mchezaji anaitikia fursa maisha yanaenda

Kila la kheri kaka mkude bocc yuko jkt leohiii msalimie ukikutana nae bahana tulimtamani aje sema kumejaaaaaa
 
Yaani msimu mzima kacheza mechi tatu ndio unamfungulia uzu
Yaan kama kuna mchezaji nimemheshimu msimu huu n mkude

Mkude anajua fursa

Mkude alipoitwa Yanga, Simba walimbeza sana sana

Wakamdharau lakini akaisaidia yanga

Leo hii viongozi wa mashabiki wanalia mbona wanaochukuliwa na yanga toka simba wanacheza vizuri shida ikowapi?

Haitoshi chamahuyooo jaman weh lazima waulizwe wachezaji wa simba shida nn alisikika kiongozi wa mashabiki

Sasa wakati maalum wa kuielewa Yanga haibebi tu kama mzoga inaona fursa na mchezaji anaitikia fursa maisha yanaenda

Kila la kheri kaka mkude bocc yuko jkt leohiii msalimie ukikutana nae bahana tulimtamani aje sema kumejaaaaaa
kAC
 
Back
Top Bottom