Jonas Mkude apimwe akili kama akikubali gwaride la heshima la Simba

Jonas Mkude apimwe akili kama akikubali gwaride la heshima la Simba

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Hakuna ubishi kuwa Mkude aliwafurahisha wanaSimba kwa miaka 13 mfululizo, aliwatumikia watanzaniaa pia kupitia timu ya Taifa; ni miongoni mwa watanzania muhimu sana. Lakini namna 'THANK YOU" yake ilivyotolewa kwake na Simba ni ushahidi tosha kuwa uongozi wa Simba unamuona Mkude kama mtu punguani anaestahili kwenda kupimwa akili yake kama walivyowahi kusema mbele ya mipaza sauti na camera kuujulisha umma.

Mkude aliachishwa Simba sawa na kama wachezaji wengine ambao hakuonyesha viwango tangu wasajiliwe Simba msimu uliopita tu, yaani alipewa hadhi na uzito sawa na akina Akpan, Kiyombo, Okwa, Okra, Gadiel, na wengine hadi pale baadhi ya wadau kulalamika kwa niaba yake na tetesi za kutakiwa na timu nyingine kubwa simba wakaibuka na mbwembwe na kejeli za kumpa mkude sifa ambazo hawakutaka kumpa hapo awali walipokuwa wanafyeka majina ya wachezaji wa kuondoka Simba.

Kwangu mimi hivyo parade ya heshima wanayotaka kumpa Mkude ni ya kitapeli na yenye nia ovu kwa Mkude. Simba kamwe hawawezi kumpa nafasi ya uongozi Mkude ambae wamejilidhisha kuwa ana utovu wa nidhamu na hana akili nzuri kiasi cha kufika umbali wa kumpeleka akapimwe akili. Maana yake ni kuwa Mkude sio role model kwa wachezaji wa Simba kitabia, hivyo hawezi kuruhusiwa kurudi tena Simba tena kama kiongozi, hivyo kauli ya msemaji wa Simba, Ahmed Ally kuwa Mkude anaruhusiwa kurudi Simba ni uongo, hadaa na kejeli kwa Mkude.

Namshauri Mkude atupe macho na mikono yake juu kumshukuru Mungu kwa kile alichojaliwa kukipata hadi pale alipoambiwa thank you, kisha asonge mbele na mipango yake aliyonayo baada ya kuachwa Simba vinginevyo atajipunguzia heshina, sifa na uwaminifu huko aendako kama atakubali kwenda kuagwa na simba kinafiki ili kumharibia. Gwaride hilo ni la kumharibia sio kumkweza.
 
hakuna ubishi kuwa Mkude aliwafurahisha wanaSimba kwa miaka 13 mfululizo, aliwatumikia watanzaniaa pia kupitia timu ya Taifa; ni miongoni mwa watanzania muhimu sana. Lakini namna 'THANK YOU" yake ilivyotolewa kwake na Simba ni ushahidi tosha kuwa uongozi wa Simba unamuona Mkude kama mtu punguani anaestahili kwenda kupimwa akili yake kama walivyowahi kusema mbele ya mipaza sauti na camera kuujulisha umma.

Mkude aliachishwa Simba sawa na kama wachezaji wengine ambao hakuonyesha viwango tangu wasajiliwe Simba msimu uliopita tu, yaani alipewa hadhi na uzito sawa na akina Akpan, Kiyombo, Okwa, Okra, Gadiel, na wengine hadi pale baadhi ya wadau kulalamika kwa niaba yake na tetesi za kutakiwa na timu nyingine kubwa simba wakaibuka na mbwembwe na kejeli za kumpa mkude sifa ambazo hawakutaka kumpa hapo awali walipokuwa wanafyeka majina ya wachezaji wa kuondoka Simba.

Kwangu mm hivyo parade ya heshima wanayotaka kumpa Mkude ni ya kitapeli na yenye nia ovu kwa Mkude. Simba kamwe hawawezi kumpa nafasi ya uongozi Mkude ambae wamejilidhisha kuwa ana utovu wa nidhamu na hana akili nzuri kiasi cha kufika umbali wa kumpeleka akapimwe akili. Maana yake ni kuwa Mkude sio role model kwa wachezaji wa Simba kitabia, hivyo hawezi kuruhusiwa kurudi tena Simba tena kama kiongozi, hivyo kauli ya msemaji wa Simba, Ahmed Ally kuwa Mkude anaruhusiwa kurudi Simba ni uongo, hadaa na kejeli kwa Mkude.

Namshauri Mkude atupe macho na mikono yake juu kumshukuru Mungu kwa kile alichojaliwa kukipata hadi pale alipoambiwa thank you, kisha asonge mbele na mipango yake aliyonayo baada ya kuachwa Simba vinginevyo atajipunguzia heshina, sifa na uwaminifu huko aendako kama atakubali kwenda kuagwa na simba kinafiki ili kumharibia. Gwaride hilo ni la kumharibia sio kumkweza.
Wa kupimwa akili ni wewe kwa kuandika utopolo huu
 
Kwani wagonjwa hawaponi? Na wakipona hawapewi nafasi?
ugonjwa ni siri kati ya mgonjwa na dk wake, lakini simba ugonjwa wa mkude wa upungufu wa akili waliuweka hadharani. Hawajatuambia majibu ya vipimo yalikuwa nini kama walimpeleka kupimwa na kama amepona au la na sababu za ugonjwa ni zipi, unapona kabisa au kama unajirudia tena kama akifanya au kufanyiwa nini?
 
anasema wamenifukuza kama mchezaji aliyekuja jana, hebu msikilize kwa makini.
 
Kuna kampuni huwa mtu akikutwa amelewa anafukuzwa kazi hapo hapo (kwa kufuata utaratibu wa policy za kampuni na sheria za nchi)

Lakini anaweza kuajiriwa tena baada ya miezi sita (sio guarantee).

So kwa maana hiyo huyo mchezaji hata kama alikuwa na mapungufu basi ana nafasi ya kujirekebisha na kualikwa tena klabuni ni busara ya waliobaki kufahamu kuwa hakuna binadamu mkamilifu.

Judging is easy and it does not require much thinking or reasoning.
 
Wa kupimwa akili ni Yanga maana pamoja na Morison kuwasumbua na kuwagaragaza bado mkamsajili tena halafu saa hizi mmemtema!
kwahiyo alitakiwa acheze milele Yanga? Aliifikisha yanga fainali ya caf, inatosha, hata messi aliondoka Barca
 
ugonjwa ni siri kati ya mgonjwa na dk wake, lakini simba ugonjwa wa mkude wa upungufu wa akili waliuweka hadharani. Hawajatuambia majibu ya vipimo yalikuwa nini kama walimpeleka kupimwa na kama amepona au la na sababu za ugonjwa ni zipi, unapona kabisa au kama unajirudia tena kama akifanya au kufanyiwa nini?
Mtu akipimwa mkojo siyo lazima ana ugonjwa wa zinaa
 
hakuna ubishi kuwa Mkude aliwafurahisha wanaSimba kwa miaka 13 mfululizo, aliwatumikia watanzaniaa pia kupitia timu ya Taifa; ni miongoni mwa watanzania muhimu sana. Lakini namna 'THANK YOU" yake ilivyotolewa kwake na Simba ni ushahidi tosha kuwa uongozi wa Simba unamuona Mkude kama mtu punguani anaestahili kwenda kupimwa akili yake kama walivyowahi kusema mbele ya mipaza sauti na camera kuujulisha umma.

Mkude aliachishwa Simba sawa na kama wachezaji wengine ambao hakuonyesha viwango tangu wasajiliwe Simba msimu uliopita tu, yaani alipewa hadhi na uzito sawa na akina Akpan, Kiyombo, Okwa, Okra, Gadiel, na wengine hadi pale baadhi ya wadau kulalamika kwa niaba yake na tetesi za kutakiwa na timu nyingine kubwa simba wakaibuka na mbwembwe na kejeli za kumpa mkude sifa ambazo hawakutaka kumpa hapo awali walipokuwa wanafyeka majina ya wachezaji wa kuondoka Simba.

Kwangu mm hivyo parade ya heshima wanayotaka kumpa Mkude ni ya kitapeli na yenye nia ovu kwa Mkude. Simba kamwe hawawezi kumpa nafasi ya uongozi Mkude ambae wamejilidhisha kuwa ana utovu wa nidhamu na hana akili nzuri kiasi cha kufika umbali wa kumpeleka akapimwe akili. Maana yake ni kuwa Mkude sio role model kwa wachezaji wa Simba kitabia, hivyo hawezi kuruhusiwa kurudi tena Simba tena kama kiongozi, hivyo kauli ya msemaji wa Simba, Ahmed Ally kuwa Mkude anaruhusiwa kurudi Simba ni uongo, hadaa na kejeli kwa Mkude.

Namshauri Mkude atupe macho na mikono yake juu kumshukuru Mungu kwa kile alichojaliwa kukipata hadi pale alipoambiwa thank you, kisha asonge mbele na mipango yake aliyonayo baada ya kuachwa Simba vinginevyo atajipunguzia heshina, sifa na uwaminifu huko aendako kama atakubali kwenda kuagwa na simba kinafiki ili kumharibia. Gwaride hilo ni la kumharibia sio kumkweza.
Dogo kama unatarajia kuigombanisha Simba na Mkude, basi jua haiwezekani!
 
Mleta uzi akapimwe marinda
Wewe huna marinda ndo maana unadhani na wengine hawana. Umeshawahiona wapi mchezaji asiekuwa na nidhamu akapewa unahonda wa timu, sembuse uongozi wa timu? Wewe huna marinda kabisa yamekuharibu hata akili. Simba inamkejeli Mkude kumwambia anaweza kurudi pale kama Matola na wengine huku wakiamini na kuutangazaia umma kuwa Mkunde hana nidhamu na akapimwe akili. Hivi ni mtu gani mwenye marinda anaweza kuamini kuwa Mkude anaweza kurudi Simba kama kiongozi?
 
Wewe huna marinda ndo maana unadhani na wengine hawana. Umeshawahiona wapi mchezaji asiekuwa na nidhamu akapewa unahonda wa timu, sembuse uongozi wa timu? Wewe huna marinda kabisa yamekuharibu hata akili. Simba inamkejeli Mkude kumwambia anaweza kurudi pale kama Matola na wengine huku wakiamini na kuutangazaia umma kuwa Mkunde hana nidhamu na akapimwe akili. Hivi ni mtu gani mwenye marinda anaweza kuamini kuwa Mkude anaweza kurudi Simba kama kiongozi?
Unajua kwanini Simba walimnyang'anya unahodha, tatizo lenu mnapenda kukurupukia mambo ya Simba wakati yenu yanawashinda
 
Dogo kama unatarajia kuigombanisha Simba na Mkude, basi jua haiwezekani!
sio mimi nawagombanisha bali walishagombana wao wenyewe, au hukuiona wala kuisikia ile senkiyu aliyopewa na akina Akipan? hukusikia wakisema kuwa hana nidhamu? kusikia wakimwambia akapimwe akili?






Kwahiyo huyu ndiye anaambiwa anaweza kurudi simba kuwa kiongozi? Wanamkejeli kijana wa watu. Kama anazo akili timamu asiende kwenye hiyo sherehe ya kinafiki.
 
Back
Top Bottom